Habari wakuu naomba kujuzwa hili tatizo linatibika au ni namna gani linaweza kua solved
Historia fupi :
Mwenye tatizo hili ni dada yangu ameanza kuumwa tu bile kujua tatizo tangu mwaka 2019 mwanzoni kabisa alikua na tendemcy ya kuvimba vimba sehemu mbalimbali za mwili mara miguu,uso,mikono na...
Wakuu habari za wakati huu.. naomba mwenye kujua amabaye ataweza kunifanyia intergration ya Direct pay Online kwenye App na website yangu Nawasilisha mwenye kuweza anijuze tufanye kazi..
habari wakuu,
Naomba msaada kwa anayejua namna ya kufanya intergration ya payment gateways za hawa pesapal katika hii project iliyokua developed kwa laravel nawasilisha kwa mwenye kujua msaada wako katika hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu bila shaka ni wazima wa afya nina suala moja hapa linaniumiza kichwa na kukwamisha project yangu nimeandaa nimeandaa platformya e-commerce utendaji kazi wake ni ule ule wa ALIEXPRESS kwa maana amekusanisha stores and viwanda mbalimbali kuweka bidhaa zao katika website yake...
==> Anzisha Mitandao kama Uber, Tala, Airbnb, Amazon, Zidisha, Makazi, Jumia, Brightermonday...Upate Kuwa na Competitive Edge na Utoboe Kiufanisi Zaidi
------------------------------------------
1. Platform kuu kuuza mazao nchi nzima = hapa naamaisha kuwepo kwa platform ambayo wauzaji nchi...
Habari wakuu, nina website ya ecommerce nimekwama mahali ninahitaji niwe naweka price ranges kutokana na quantity atakayo order mteja mfano wa hizi products.
Platform ya web yangu nilotumia ni Wordpress
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu naomba msaada wa kufahamu makampuni yanayohusika na usafirishaji wa bidhaa kutoka huko ughaibuni kama china yanatumika na haya makampuni kama kikuu hadi bidhaa inamfikia mteja kwa address aliyoiweka .. aina za mizigo ni tofauti tofauti
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau, naomba mwenye kufahamu namna ya kupata leseni ya biashara ya duka la mtandaoni tafadhali naomba anijuze taratibu zake na pa kuanzia nawasilisha
Habari wakuu natumai ni wazima. Nilikuwa naomba nipate muangaza kidogo kuhusiana na upataji wa leseni ya biashara aina yenyewe ya biashara ni kama ile ya Kikuu.
Nimejaribu kuuliza inasemekana Manispaa hawatoi leseni hiyo hadi Wizarani. Je Wizara gani na je kuna anayefahamu aidha utaratibu wa...
wakuu habari zenu ....... Nadhani heading inajieleza naomba msaada namna ya kupandisha script nilonayo kwenye hosting acc kwa ajili ya website kwenda hewani msaada tafadhali nawasilisha
wakuu habari za muda .... nina tatizo ninahitaji kufanyiwa setup ya website mpya ambayo nina source code tayari hivyo kuna vitu nimekwama tafadhali njoo pm tufanye makubaliano ili tufanye kazi nawasilisha
nilikuja na ombi la namna ya utengenezaji wa web kama hii ila mpaka kufikia leo sijapata msaada nawasilisha naomba kujuzwa... CHIEF MKWAWA
Home Page | Halab Tech Support
Habari wakuu natumai ni wazima ...... naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika naomba msaada wa kujuzwa namna ya kudesign web kama hiyo kama ilivyo uelewa wangu upo kwenye Wordpress (wp) kwenye kudesign from scratch nawasilisha
Msaada wakuu kama heading inavyoelekeza hapo juu naomba msaada wa kuweka Tab kwa ajili ya Registration kwenye blog ila sasa katika hiyo menu tab iwe na sehemu ya malipo nimedesign blog yangu kwa kutumia platform ya blogger na sio wordpress
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.