Napenda sana Comedy! Comedians wengi tanzania hawako kisasa! Joti ana jitahidi. Ila kwa ujumla Comedy dunia ya leo inabidi uwe well informed na updated!
Check hii! Kansiime ni Comedian bora Afriac
09-07-2019.
"KOFFI OLOMIDE" kafungua mkutano na Wandishi wa Habari kwa maneno haya kabla yakuanza kujibu maswali :
01. Kwanza namshukuru Mungu kuniwezesha kufika tena Jijini Paris,baada ya takriban miaka 10 yakutokuwepo. nashukuru pia kufika makaburini na kumtolea salaam Baba yangu Mzazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.