Wakuu habari za kazi?
Kutokana na Chama cha Mapinduzi kutumia nguvu kubwa ya kutaka uwepo wa Serikali mbili, huenda kuna jambo zuri la Kitaifa ambalo mimi na baadhi ya Watanzania wengine hatulifahamu.
Hivyo basi; kama kama kuna mtu anaweza kutoa maelezo ya kina juu ya umuhimu wa Serikali...
Mimi ngoja nifunguke zaidi, pamoja na mambo mengi ambayo wadau wameyaongea pia mvuto unaweza kuja bila hata ya kumuona muhusika. Yani hata kwa kusikia jinsi anavyoongea unaweza vutiwa mpaka ukapata hamasa ya kufanya matusi! Mfano hapa JF kuna mdada mmoja ananikosha kwa jinsi anavyochangia, ngoja...
Nina mashaka na uwezo wako wa kufanya research, yani wavulana wachache wa chuo ulichosoma na makonda wa kwenye daladala ndio wanawakilisha jamii nzima ya wanaume! Jaribu pia kuchunguza wanaume waliopo maofisini kama kwenye makampuni, mabenki, ubalozini, NGOs, n.k. Baada ya hapo uje na jibu la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.