Heshima mbele wakuu, tumeona Ndugu Zitto akijitahidi kufafanua na kudadavua baadhi ya kurasa za report ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Serikali, na baadaye kuja na baadhi ya maswali akihitaji majibu, kwa upande wangu naona ni maswali yenye mantiki na chanzo chake ni report ya ukaguzi ya CAG. Nini...
hilo ni deni la serikali ya ssm, hawawezi kukwepa mabaya na kukumbatia ma
zuri aliyoacha JK, by the way kuna mtu alikaa India 3months badaye akakaa 4months..naomba kuishi hapo
"ofisi ya mdhibiti na mkaguzi mkuu yafutwa, shughuli zake kuhamishiwa hazina"
"kuanzia mwaka wa fedha 2017/2018 report itakuwa inakabidhiwa kwa Rais na kujadiliwa ndani ya vikao vya baraza la Mawaziri"
btw ana miaka 31 sasa iwe ni kweli au si kweli hakustahili kuwa pale, mbali na mawaa dhariri yote yaliyojiri waliotakiwa ni watoto waliotelekezwa, miaka 18 kwenda chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.