Naandika hili nikiwa na hasira sana
Msaada mwenye kujua spray yeyote au sawa inayoweza chafua hali ya hewa kwa muda mfupi na kusababisha pasikalike
Au dawa ambayo ukichoma itaharibu hali ya hewa kwa muda mfupi yaani ilimradi pasikalike
Msaada tafadhali kwa anaejua moja kati ya hilo
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.
Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.
Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae...
Nishawahi kuandika humu kuhusu mahusiano sugu humu mkanipuuza
Saizi mnaishi humo mnashindwa ku move on
Mmegeuka watumwa wa wapenzi ambao hamuoni future kwao
Kila siku ni vilio vya hasara ya pesa na muda mtu anatreat atakavyo anajua huna options na kweli huna option
Kwa kuongozwa na mioyo...
Habari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu.
Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana. Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio...
Nna sumbuliwa na kiuno sana tatizo lina kama wiki adi sasa
Ila naona kama liko serious sana yaani limeamua kwa kweli
Najua mpo wajuvi humu mnaweza nisaidia
Miaka yangu 21s
Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife
Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia
Mwaka jana yakajirudia...
Poleni na majukumu wadau,
Mapenzi bwana acha yaitwe mapenzi, tuseme tu kwa kifupi hayana formula
Unaweza ukawa na hela ukapigwa chini, unaeza ukawa hb ukapigwa za uso na unaweza ukawa fundi wa kuchezea vizazi ila ukapigwa chini vile vile.
Kuna kile kipindi unaenjoy mahusiano hadi unatamani...
Habari za asubuhi wana jamii forums
Kijana wenu niko hapa nahitaji ushauri wenu na experience yenu katika hili linisumbualo akili kwa sasa
Kwa kifupi ni kua mimi ni aina ile ya watu ambao tunaweza kutengeneza marafiki wengi kwa muda mfupi na kibaya zaidi nimelia uswazi
Hii tabia ya...
sema hii album ya Timaya ya moto asee kuna ngoma kama
Chulo bothers no body
Something must kill a man
Don dada
Born to win
Na ngoma nyingine kibao afu mshikaj kaimba alone afu zote za Moto
Mi naona kawafunika hata davido, Wizkid, Nasty c na uyo Tiwa Savage
Sema mshikaj anaweza
Jamani tuwekane sawa kidogo kwene haya mambo mawili matatu
Sio kwamba una depression ila hauna hela, kimezuka kitabia flani mtu akiwa hana hela anajieka sura ya huzuni yaani kama ana msongo wa mawazo kumbe uhalisia hana chake
Sio kwamba huna hamu ya kula ni huna hela binadamu bhana huwa...
Habari zenu wanna Jf
Mi huwa nazisikiliza hizi
Cry no more by Chriss brown
Niache ya Diamond platnum
Surrender ya Natalie Taylor
Siwezi ya Baraka the prince
Aljandro by Lady Gaga
Karibu share tupate kujufunza vitu vipya
Maisha ni mapenzi bila mapenzi hakuna haja ya kuishi
Afu kuna hii ya...
Sijui nina tatizo au la, ila mimi nachukia sana kuona mwanamke kavaa kyupi,
Na vise versa naenjoy kuona KE akivaa boxer, nakua na amani
Nakumbuka mwaka fulani nilikua na date na tom boy yeye alikua anavaa boxer tu, huwezi mkuta kavaa kyupi, siku ya Kwanza kuonana nae alikua kavaa pensi, afu...
Isitafsiriwe kama nimekata tamaa, hapana ila hili swali huwa najiuliza sana. Msije fikiria natafuta sababu ya kujiua hapana sio hivyo
Lengo la hilo swali ni kujua kila mmoja kiupande wake nini kinampa hamasa ya kuendelea kuishi. Yaani endapo ukifa kitu gani utakimiss sana
Usiku mwema kwa wale...
Poleni na majukumu wananzengo
Mambo ambayo binafsi nakereka sana sema kwa sababu ya system nashindwa kuamua na sina pa kupereka
Wazazi kuforce vijana wao tuoe, kila mtu ana akili yake bhana, muache mtu aishi anavoona yeye sahihi
Kuona watu wakipinga starehe za watu mfn pombe, ganja na...
Habari za weekend wananzengo, hope fully mko poa as usually
Leo nimeona nishare na nyie wananzengo kuhusu mahusiano sugu kwanini watu wanashindwa ku move on yaani unakuta watu wameachana ila mechi za kirafiki wanaplay kama kawaida watoto wa kisasa mnaita kupasha viporo
Hizi ni baadhi ya sababu...
Ni hivi wanaume wengi tunafikiri mwanamke akikubali kuolewa na wewe ndio anakupenda koo sio rahisi kukucheat kitu ambacho si kweli.
Ukweli mchungu ni kua wanawake wengi wanakubali kuolewa na wewe ili tu apate heshima kwene jamii inayomzunguka ila anakua hana hisia na wewe ata robo wengi wao...
Oya niadje wanangu
Ni hivi leo nna ka neno nataka share na nyie wanangu huenda kakawasaidia au Kaka wapotosha inategemeana utakatumiaje
Usijidanganye kua unaeza kumridhisha mwanamke kwa kumpa pesa, we tafuta tu pesa zikusave kwene majanga yako lakini usitegemee eti ukiwa na pesa ndo...
Poleni na majukumu wakuu
Leo nimeona nisheenanyi njia za uhakika ambazo ukizitumia inavotakiwa kwako namba za watoto wazuri itakua sio shida
Fungua goli(office) la huduma za kifedha yaani namaanisha uwe na tigo pesa,m pesa, Airtel money na hallo pesa, yaani hii ni njia ya uhakika na salama...
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kutuumbia nyie viumbe maana sometimes huwa nashindwa kuimagine maisha yangekuaje bila nyie
To be honest wadada wenye lips nene mna nafasi kubwa sana moyoni mwangu.
Nisiongee sana nisije nikakufuru naomba tu niwatakie usiku mwema wenye baraka tele
Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.