Yaani TANESCO kila siku mnakata umeme, tena mnarudisha jioni pasipo kutangaza, hasa kwa Wilaya ya Ubungo! Hamuoni mnakosesha Shirika mapato (mnahujumu jamii)?
Hapa nagundua mambo fulani:
1. Wahandisi wa TANESCO hawapo vizuri sana kiutendaji
2. TANESCO mnajiona mungu watu, mnakata umeme...
Habari njema kwako mteja wa kisimbusi cha Continental unayetumia dish sasa marekebisho ya mitambo yetu yamekamilika. Tupate kwenye Satelite ya Azerspace 2 45E Freq 11637 SR 30,000, Mod8PSK , FEC 3/4 , Pol V. Wasiliana na fundi aliye karibu nawe kupata msaada wa kuhamisha dishi lako. Asante
Habarini wakubwa,
Naomba kufahamu kidogo. Kutokana na umbile la dunia( sphere), bara la Australia lipo Southen Pole of the Earth, maswali huwa najiuliza je watu, majengo & milima ipo upside down??
Kama ni kweli kwanini hawahisi hiyo hali???
Najua hawazezi kuanguka kutokana na Gravity force...
Yaani utadhani Taifa lipo kwenye wakati mgumu sana, & linaitaji mapezi ili hali kuwa nzuri..... kila wakati mapenzi mubashara.... washukuru ITV kwa introduce neno mubashara kwenye media
Kiukweli ni aibu sana hasa mkiwa na wazazi na kusikia hii redio hasa kwa tamaduni zetu sisi waafrica...
Habarini wakubwa wenzangu
Nimejeribu kufuatilia kuhusiana na makabila mengi hapa nchini (Tanzania) inasemekana kuwa walikuja kutoka sehemu nyingine za Afrika au Dunia. Hapo hapo tunaambiwa binadamu wa kwanza aliishi tanzania (Orduvai , mswali ninayo jiuliza ni mengi sana
1. Je, hakuna kabila...
Nahitaji kutengeneza data backup from local server ( win server 2012) , either cloud backup au remote back up.... database n mysql
Naomba muongozo wajameni
Daktari amshauri mgonjwa kula chapati tu
Baada ya vipimo & majibu, daktari akamshauri mgonjwa kuanzial siku hiyo chakula chake kitakuwa ni chapati tu.......
Baada ya ngonjwa kusikia hivyo alifurahi kwaa kua uhakika wa chai upo daily.... lakini hakusita kumuuliza dakatari kwann atumia chapati...
Habarini
Naitaji mtu anielekeze vitu vichache katika develeopment ya mobile App.
Binafsi mm bado najifunza japo nimeshatengeneza application yangu & imafanya kazi vizuri tu.... ila nilikuwa sijapata mtu wa kudiskass nae challanges and over views,
Language ninazo jua
1. Java
2. Phython
3. C &...
Maana nikiangalia Majiji mengi hapa Tanzania yanatumia majina ya mkoa au kwa yeyote mwenye uelewa mzuri kuhusu majiji na namna ya upatikanaji utujulishe.
Halikadhalika na Bukoka... itaitwa jiji la Kagera?
Habarini wadau.
Kuna kitu huwa kinanitokea kila ninapokwenda soko la Karume Dar Es salaam.
Nimekuwa nikienda kununua nguo, viatu na mabegi kwa muda mrefu tu.... kero inakuja pale unapokuwa unachagua bidhaa yeyote tajwa hapo juu wahuni/madalali/wapiga debe wanakuja wanaanza kukuchagulia kwa...
Pata Profesional design ya Logo, Certicate, nk
Pia pata Mifumo mbali mbali ya kuendesha shuhuli zako mfano shule, hospital and pharmacy kwa bei nafuu 0765038814, Kwa mikoa yote Tanzania.
Habari habari habari,
Pata mfumo wa kuendesha shule
1. Primary school
2. Secondary school
mifumo hii inauwezo wa kufanya shughuli zifuatazo
1. Kuandaa & kutunza matokeo ya wanafunzi(midterms, final tems & midterm+ final).... kwa form III - form IV inatoa kwa division.... STDI- FORM II...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.