Mimi ni mwanamke mwenye miaka 44 natafuta mwenza, mwenye mapenzi ya kweli nina mtoto moja wa kike.Napenda mwanaume mwenye kujishugulisha iwe biashara au kuajiriwa, kama ana watoto wasizidi 2, kwa yule alie serious tu ani PM
mpendwa huyo hakuwa na mapenzi na wewe toka mwanzo alikuja kwako kwa ajili ya material things tu ndio maana anakusumbua achana nae watoto nini bana bora uhangaike nao mwenyewe kama ulivyo zoea kuliko kuendelea kuwa na huyo mtu. atakuua na ukimwi huyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.