Njia Ni Moja tu mkuu iliyosalama kabisa isiyo na madhara yoyote nayo nikufata Sunnah ya kuoa mke zaidi ya mmoja..! Basi!..
Hizo njia zilizobaki ni za kuchochea Uzinzi.. Uasherati...Uzinifu Basi..hazina tija zozote
Ok Ni assumption nzuri Sana ...lakin kumbuka hao jamaa wote tayari wanapoint 3 tu Kila mmoja wakiwa wamepoteza mchezo mmoja kwa Kila mtu na kibaya Zaid hivi wanacheza hivyo wanapunguzana point hivyo leo huenda mmoja akawa na point 6 au wakagawana points wakawa na points 4 Kila mmoja...so hata...
Hili haliwezekani mkuu kumbuka VITA na Al Ahly watacheza watakutana hivyo lazima watapunguzana point akishinda Vita Ina maana muarabu hawezi kufikisha poits 12 na kinyume chake pia...hii inampa faida kubwa Simba
Samahani mkuu naomba kukuuliza... hivi hapo uliposema "18k" hiyo 'k' Ni abbreviation ya Nini...je inasimamia Laki(k)..Elfu na Kama Ni Elfu mbona kwenye Elfu hakuna 'K'..au inamaanisha Kenyan shilling"K"..au inamaanisha Tsh?... naomba kujua "K" Ni ufupisho wa Nini!!na Nini kirefuchake??
Mkuu mbali na yote ningependa kukujibu tu kwa ufupi kua msingi wa hii case yako Ni case ya Jinai(Criminal case)na case za Jinai zinachukua muda kidogo mpaka kumalizika...kuhusu swala lakua anarepoti tu kila siku hii nikutokana kua case ya Jinai haiwezi kuanzwa kusikilizwa ikiwa Ushahidi juu ya...
Hivi wanaposema maombi yapitie kwa Karibu Tawala wa Wilaya ndio inakuaje...je nikupeleka tu barua yako then huyo muhusika anaigonga Kama nimuhuri au inakuaje??msaada wenu Tafadhali wakuu!
Mkuu SirChief na wengine wote wanaouliza juu ya hii kauli ya "Sisi'..Nina amini wapo miongoni mwenu Ni wafanya biashara au hata Kama siwafanya biashara lakin mmeshakutana Sana na kauli hii katika biashara mbali mbali mlizoziona zikiwa zimeandikwa..."Tunauza au We are dealing with so and so.."
So...
Baada ya kuusoma huu Uzi nikaenda kufumua makabrasha ya mzee wangu...hizi noti zote zipo kuanzia hizo za muingereza za mwishoni mwa miaka60 na kuja mpaka hizo za nyerere kabla ya kubadilishwa na mzee Mkapa..
Inshort hizo fedha (noti)mzee wangu anazo amezihifadhi Ila kwa Sasa sijui zitakua na...
Upo sahihi mkuu leo hii nimetoka Fire hapo K/Koo kukata tickets Basi ya kesho ya Nairobi kupitia Tanga Mombasa kampuni ya TAWAQAL nimeshindwa kupata huduma wanasema mpaka niwena CHETI CHA CORONA!...dah Sasa nakitoa wapi nahali halisi yahuku kwetu Tz inajulikana...na ili nikipate hicho...
Bitchuka anaishi Sinza mkuu yupo na mkewe hivyo ukifika pale utaweza kutoa msaada wa moja kwa moja otherwise bado sijapata nafasi yakupata contact zake...Ila yupo nyumbani kwake Sinza na anaumwa huu Ni mwaka wa pili Sasa!...
Tumsaidieni huyu legend!
Bitchuka kwasasa yupo nyumbani kwake nimgonjwa anasumbuliwa na presha ya macho jicho lake moja likiwa limeharibika kabisa hivyo anahitaji sana msaada wenu wahali na Mali!
Wewe mtoa post usilete janja janja hapa yakuzunguka mbuyu...lengo la hii thread yako nikupinga Jamaa kufikisha Viwers10M ndani ya WIKI(7DAYS)...umejaribu kuweka mpaka ushahidi wakihesabu kuthibitisha hilo Kama jamaa hajafikisha idadi ya hiyo kwamuda wasiku hizo Kama inavyoelezwa Bali Ni siku 8...
Assalam
Kama kichwa Cha habari kinavyosema nahitaji msaada wenu kwenye kuweza kutuma pesa kupitia Mpesa Safaricom kwenda Mpesa Vodacom Tanzania maana kwenye menu hiyo service haipo hivyo kumfanya sender(yupo Arabuni lakin anatumia Safaricom)kushindwa kukamilisha transaction hivyo msaada wenu...
Mbona sikuzote daladala zipo zakutoka G/mboto mpaka Mbezi Via M/mawili fare 600tu...so Hilo halinashaka mkuu Kwanza itakua kwasisi wa Goms imeturahisishia Sana tu maana hakuna Tena kero za mafoleni mkuu...!
Umesahau na kuhusu "Universal Health Insurance"..
Leo muhemishimiwa ameahidi ktk awamu hii atatia BIMA za Afya kwa waTz wote....
Huko nyuma Lissu alipozungumizia hilo kwenye campaign walimponda na kumuona anaropokoka tu wakati Lissu akiahidi hizo bima alikua akitumia Sana nchi za ulaya kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.