Serikali ya Lebanon imejiuzulu takriban wiki moja baada ya kutokea mlipuko mkubwa mjini Beirut, huku Waziri Mkuu Hassan Diab akilaumu ufisadi kama chanzo cha ajali hiyo
Katika hotuba yake, Diab amesema kilichotokea ni matokeo ya ufisadi ulio mkubwa kuliko taifa lenyewe na kwamba anaachia...
Rais gani Africa mashariki anaeweza kuamka aombe wabunge wake wampunguze nguvu zenye anazo kikatiba? hahaa
Sisi hapa marais wetu wote kuanzia Magufuli, Museveni, Kagame, Kenyatta wanashinda siku zao zote ikuluni wakiomba wabunge na mahakama zao wawaongezee cheo.
Mtu akijaribu kuingiza mjadala...
Malawi's new President Lazarus Chakwera says he is working on proposing legislation aimed at trimming his presidential powers in an effort to empower the citizens.
In his national address Saturday, Chakwera said having a president who makes too many decisions has created problems in Malawi and...
Licha la kudharau maelezo ya madaktari kutoka World Health Organisation kuhusu kulinda wananchi wake dhidi ya maradhi ya korona awali, pia vurugu na maandamano ya wanakundi la #BlacklivesMatter pamoja na #Antifa ndio sababu kuu ya kuregesha wana democratic party na mgombea wao Joe Biden ikuluni.
Huyu hajaikosa katika maishani mwake, matarajio yake yanatendeka vile anakuwa ameyatarajia. Sasa amesema Trump hatafaulu katika uchaguzi wa mwaka huu 2020.
President Yoweri Museveni has issued an advisory for Ugandans to stop traveling to neighboring Rwanda, in yet another twist in the ongoing diplomatic negotiations between the two countries.
President Museveni this week ordered Resident District Commissioners (RDC) of the districts neighboring...
cha kushangaza inasemekana mdogo wake huyo ndio aliekua kidato cha sita wakati yeye alikua chuo cha Dar na ndani ya msimamo wa FRELIMO Mozambique.
Je, hizo push-up arubaini ni yeye anazifanya binafsi ama usaidizi wa kifaranga(yani photoshop) ndio unatumika kutudanganya?
Mkuu si wataalamu wanasoma historia tangu wakati alipojiunga na FRELIMO kupigania uhuru wa Mozambique, akarudi Dar akajiunga na jeshi la Tanzania wakachapa Amini na haiwezekani kuwa alikuwa wakati huo na miaka chini ya kumi na tano.
Muuaji hata awe na mazuri makubwa kama kulisha wakazi wa mji mzima kila siku, HATUMPENDI na kiboko yake inakuanga kumchinja pia bila rehema ya kuangalia ukarimu wake.
Soma bibilia ama quran "An eye for an eye".
Shenzi Albert Einstein
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.