Search results

  1. Kubwalijalo

    Kwanini watu wengi wakistaafu hurudi kwao japo huko waliondoka siku nyingi?

    Anakuwa amebakiza 20% yakutumia nguvu zake. Na ndio maana anahisi bora akazitumikie kwao. Hata kwa kuuza nyanya na biringani.
  2. Kubwalijalo

    Kwa wapenzi wa fulana zile plain, ipi brand nzuri kati ya hizi?

    Hakuna hata moja kati ya hizo. Rabda uvae ili usitembee tumbo wazi.
  3. Kubwalijalo

    Wauza mitumba mtubu hii ni dhambi

    Tatizo namba moja ni mnunuzi, namba mbili ni muuzaji.
  4. Kubwalijalo

    Kwanini Bashiru Ally anaficha kilichompeleka Zanzibar ?

    Ewe MwenyeZi Mungu niweke mbali sana na siasa.
  5. Kubwalijalo

    Wale ambao toka ujiunge jf hujawahi kukutana na member yoyote

    Swet-R, Sijaona haja yakujuana. Hizo kesi zakupeans ukimwi huzisikii mmoja unaambiwa ameshajinyonga kisa ameambukizwa na mwanacha wa jf. Na wewe ndio kwanza unataka watu wajuane.
  6. Kubwalijalo

    Upinzani Tanzania una matatizo? Vyama havina Succession Plan hivyo vina Usultani! CHADEMA kuna Usultani? Usultani huu Utakiinua au Utakiangamiza?

    Hakuna ubishi na mfano mmoja kama Maalim Seif na CUF. Tokea mwanzo wa cuf mpaka kufukuzwa kwake cuf yeye ndie mgombea wa Uraisi. Hili ni tatizo kubwa kwa vya vya siasa hususan Africa.
  7. Kubwalijalo

    Nimemaliza kifungo changu leo

    Hata huko Ddubai sipo baba. Tafuta kwengine.
  8. Kubwalijalo

    Mbowe, na sisi pia tumekuchoka pumzika acha udikteta ndani ya chama

    Anataka kuwa kama vile Maalim Seif na CUF.😄
  9. Kubwalijalo

    Vyungu vya kuyeyushia Dhahabu na Scale za TANITA za japani

    Vizuri ungelisema kama kitu kipi unahitajia.
  10. Kubwalijalo

    Vyungu vya kuyeyushia Dhahabu na Scale za TANITA za japani

    Zipo za India, Italy na UK na inategemea ya kg ngapi unahitaji.?
  11. Kubwalijalo

    Vyungu vya kuyeyushia Dhahabu na Scale za TANITA za japani

    Nauza vyungu vya kuyeyushia Dhahabu pamoja na vifaa vyote vinavotumika Elution pamoja na Scale za Tanita za Japani, Na vipimo vya maji kwa ajili yakuangalia asilimia kwa Bei nzuri kabisa. Kwa mawasiliano: +255689511212 or +255778353535 Whatsapp +971589413651
  12. Kubwalijalo

    Tahadhari: Huu ni msimu wa nyoka!

    Kaka mshana hii dawa ya kuzungushia nyumba kwa ajili ya kuwafukuza nyoka wapi inapatikana.?
  13. Kubwalijalo

    Mbeya na fedha za Manyoka(kuku+ulezi)

    Utapeli tu hakuna jengine.
Back
Top Bottom