jamani wanaume si vzr kuwasema wanawake zenu kwa vimada, pole sana bibiye, kwa vile yeye kauchuna na wewe uchune usimuulize kitu siku akitaka kuyaongea yaongeeni ila natumaini utamsamehe kama atakiri ukosa na kutorudia kosa, next time usishike simu ya mumeo, iyone kama sumu ona sasa unajipa ma...
wewe unaonekana unapenda mteremkooo, tumekushtukia, kama unashida na huna kazi gari la nini??? uza gari upate ka mtaji uweze kuishi mjini kwa raha na sio kutafuta mteremko, utafika pabaya kama utaendelea hivyo, si bora wewe unalazwa sebuleni, wapo wenzako wanalala nje...
Anacheza na akili yako huyoooo, kataa kuwa mtumwa wa mapenzi kwa kutishiwa, kama kweli anakutishia vituo vya Police huvijui kumriport? achana na huyo mtu mwisho wake utakuwa mbaya....:rant:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.