Mdogo wangu kapata 2 ya 11 (DDC) anataka kusoma medical,is it possible?
=====
Habari wanaJF,
Leo Baraza la mitihani la Tanzania NECTA limeyatoa matokeo ya kidato cha sita, kwa uzoefu wangu nimeona ni vyema tuanzishe uzi huu maalumu ili tushauriane, tueleweshane, tuambiane nini cha kufanya na...
Hivi gambe hawapigi? Sijawahi kusikia mtu anapeleka vyombe au ndio dini imeshika hatamu? Lakini kwa kuwa ni visiwa si kuna hotels na sehemu za bata angalau kwa wageni
Wapendwa nina CPA ila nipo interested kusoma ACCA kuna fursa nimeiona nje ya nchi.Naomba kuuliza ukiwa una CPA kuna exemption kwa kiwango gani ili nipate ACCA?
Thanks
Jamani biashara ni makubaliano,hutaki si unakausha tu.Mtu anabisha sio boerboel then inaletwa picha ya pitbull.Mwingine anadhani boerboel ni mbwa wa ulinzi.Mara mbwa mkubwa hafundishiki mi namuuza huyo mbwa kwa mfugaji anayehitaji mbegu.Nawajua mbwa,najua tabia za mbwa.Ukihitaji mbwa wa...
Wapendwa naombeni kujuzwa kuhusu wapi nitapata mbegu nzuri ya kuku wa mayai maana nilishauriwa niagizie Uganda lakini inasemekana kwamba Serikali imezuia uingizaji wa vifaranga kutoka nje.
Shukrani
Wapendwa!
Natarajia kuanza project ya kuku wa mayai,awali nilishauriwa kuagiza vifaranga Uganda lakini inasemekana kwa sasa Serikali hairuhusu kabisa kuingiza vifaranga kutoka nje.
Hivyo basi naomba mzoefu wa hawa kuku anielekeze ni wapi pa kupata mbegu nzuri ndani ya Tanzania.
Asanteni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.