tuliwahi kuwapigia simu hawa erb,lakini wana mlolongo mrefu sana,
hili jengo sio kama limeanza leo kutikisiska mimi naona kila siku linatikisika.
nina wasi wasi na viwango, kama kuna mwenye email yao atutajie tuwaandikie.
tupo ghorofa ya nane eti tunaambiwa hata likipita gari kubwa tu linatikisika
jamani tusaidieni ipo siku tutafunikwa,
hili jengo la habour view tower nina wasiwasi na viwango vyake.
upande wa ofisi yetu kulikuwa ni 'parking' hawa wenye jengo wakafanya
marekebisho sasa ni ofisi. tena ni ofisi kubwa tu ya shipping inayopokea
wateja wengi kwa siku. kinachotupa wasi wasi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.