Gari ya ndugu yangu imekamatwa leo huko Morogoro kwa kosa la kutofanyiwa ownership transfer. Jamaa alinunua hiyo gari miaka miwili iloyopita na hakubadili jina kwenye kadi. Leo amekamatwa na agent wa TRA, eti hajafanya transfer ya gari na alipaswa kufanya hivyo ndani ya siku 30 baada ya...
Wana JF,
Nakuja kwenu naomba mnisaidie mwanaJF mwenzenu mkopo WA Mil 6, hata kwa riba ambapo nitaanza kulipa baada ya mwezi mmoja. Nina gari na kiwanja. Gari daladala naweza kuacha kadi, kiwanja kina Leseni ya makazi.
Natanguliza shukrani.
Jamani ndugu zangu nauza gari Isuzu Journey, Engine type 4BD1, Seating capacity 29, Imported-Singapore, Imefanya kazi ya Daladala kwa mwaka mmoja sasa, Tegeta-Ubungo. Ipo katika hari nzuri, Bei ni TSH 17,000,000 maelewana yapo.
Mke wangu anaujauzito wa wiki sita sasa, na ni ujauzto wa kwanza. Amekua akitapika sana kuanzia asubuhi mpaka jioni, yani chakura hakikai. Kuna dawa inaitwa NOSIC nimesoma kwenye net inaweza msaidia. Tunahofia kutumi dawa hiyo, hatujui madhara yake. Tafadhali wenye ufahamu wa dawa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.