1.Kuna wanawake wanaopewa mimba kisha kutelekezwa na wanaume kama tz?
2.Iwapo mwanafunzi atapigwa mimba, miaka 30 itamuhusu huyo mwanaume aliyempa mimba?
3.Viongozi huwa wanafanya ufisadi?
4.Vipi suala la umeme kukata Kata hovyo?
5.Kuna waganga wa kienyeji wa kuongeza nguvu za kiume, mvuto wa...
Kipande System ni mfumo uliokuwepo Kenya kipindi cha ukoloni, ambapo kila mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 alilazimika kulipa kodi na kuwa na kitambulisho cha kazi ambapo ilikuwa ni lazima utembee nacho popote uendako.
Sasa kwa hapa Tanzania tangu itangazwe kuwa machinga wote wawe na...
1. Kuona askari wenye virungu wakisindikiza wachezaji wakati wa kutoka au kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
2. Askari Polisi kujazana uwanjani na kuanza kutazama wachezaji ndani ya uwanja badala ya kulinda usalama kwa kuwatazama mashabiki.
3. Wakuu wa mikoa na wilaya kufanya...
Tunapokuwa kwenye ibada za kuabudu na kusifu hasa kwa makanisa kama kkt, Moravian, Anglicana utakuta asilimia kubwa ya wanaume tunakuwa na aibu kucheza wakati wamama wenyewe wanajiachia tu kucheza, lakin tukiwa kwenye miziki ya kilimwengu(disco) wanaume ndio tunaojiachia zaidi kucheza kuliko...
ni ile hali ya kufua nguo halafu kila baada ya dakika tano unaigeuza geuza utafikiri unabanika samaki jikoni, na pia unahamisha nguo kila wakati kwa kufuata mwanga wa jua.
kipindi cha balehe nakumbuka nilikuwa bingwa wa kutoa ushauri wa jinsi ya kutongoza madem kwa vijana wenzangu lakini wasichojua mimi nilikuwa muoga kwa madem hata kunguru ana afadhali, basi kuna binti mmoja mtaani nilitokea kumpenda sana lakini kumwambia ndio ikawa shida halafu binti mwenyewe...
nilipokuwa shule nilifundishwa kwamba wingu la mvua ni barafu, sasa hoja yangu ni kwamba ndege inawezaje kupita hayo mawingu bila kupata hitilafu yoyote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.