Haya mambo yalikuwepo ata awamu zilizopita. Usiaminishe kwamba kipindi cha Mwendazake watu hawakukwepa kodi.
Kipindi hiki wenye maduka Kariakoo si ndio kwa uwingi walikuwa wanawapa Machinga mizigo yao jioni wanaletewa hesabu, alafu kwenye mauzo ya EFD NIL.
Niongezee kidogo hapo kwa Sir_Mimi, kama mtaji wako ni mdogo nashauri kuanza na Lubes alizozitaja sir_mimi changanya na filters na vitu vingine vidogo vidogo mathalani Plugs, Fuel pumps na vifaa vingine vya service... Hapa utakimbiza mdogo mdogo huku ukikuza mtaji.
Hapo unaweza anza ata na 4M...
Kazi nzuri boss. Hii article inaweza patikana kwenye kitabu kipi. Ikiwa pamoja na hawa ma genious wengine pichani hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.