Kwa mwendo huu, sherehe za Mapinduzi Zanzibar kweli zitakuwepo mwakani?
Kama tisa Desemba tunafanya usafi nchi nzima, yamkini Januari 12 sherehe za Mapinduzi Zanzibar nako watafanya usafi kama sie huku bara.
Yetu macho, subira yavuta heri.
Najua mgombea wetu JPM anaongoza kwa kura nyingi katika majimbo yaliyotangazwa na NEC hadi sasa.
Hata hivyo endapo utatokea muujiza matokeo yakageuka basi nitawaomba wana-Ukawa watupe Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke katika historia ya taifa letu!
Katiba inasemaje endapo mshindi wa urais atashindwa kuapishwa, labda kutokana na ugonjwa au kifo? Je mgombea mwenza ataweza kuapishwa badala yake, au itabidi uchaguzi urudiwe upya?
maggid mjengwa
Ndugu zangu,
Waziri wa Ujenzi
amenukuliwa na Watangazaji
wa habari akitamka; " Na
atakayeshindwa kulipa nauli
mpya Dar- Kigamboni na apige
mbizi au azunguke Kongowe" -
John Magufuli.
Ndugu zangu,
Siamini kama maneno haya
yanatoka kwenye kinywa cha
Waziri Mwandamizi...
Kwa wazazi na vijana suala la ada ya shule na chuo ni ishu kubwa!
Ili kuweza kuzuia kura zisiyoyome, inabidi hoja ya UKAWA kutoa elimu bure hadi chuo kikuu ijibiwe haraka na bwana Magufuli kwenye kampeni zake!
Team Lowassa msishangae ndege yenu ikishindwa kuruka kwa kukosa mafuta!
Hili ni angalizo tu kwenu, mjue kampeni za urais sio lelemama!
Baada ya TV zote kudhibitiwa vilivyo na TCRA, sasa ni mwendo mdundo kwa upande wa magazeti na mitandao ya kijamii.
Pia huko tunakoelekea, ipo siku...
Ni habari njema kwa CCM, ila mbaya sana kwa Lowassa/Ukawa!
Mtandao wa CCM ulioenea nchi nzima kuanzia ngazi ya shina, ndio utakaofanikisha ushindi wa urais kwa CCM!
Tuvumiliane ndugu zangu wapenzi wa Lowassa na Ukawa, CCM itashinda urais October, 2015!
Hayati Bob Marley angekuwa hai angeukubali muziki wa Ukawa!
Sio Bob Marley tu, hata baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!
Mimi mwenyewe nimeukubali, inatubidi wote tucheze kwanza huu muziki wao, habari ya kura baadae!
Huu ni mtazamo wangu tu!
Kama kweli Magufuli angekuwa bora, basi JK angempa u-PM mwaka 2008 wakati Lowassa alipojiuzulu uwaziri mkuu kwa kashifa ya Richmond!
Sasa kama JK alimuona hawezi kumpa ukiranja wa baraza lake la mawaziri, iweje leo atuaminishe wananchi anafaa kuwa Rais wetu na Amiri...
Japo haikubaliki akilini mwa wana-CCM wengi, ukweli hali ni tete isiyoweza kudhibitiwa na CCM ya leo!
Likitokea la kutokea hapo 25/10/2015, itabidi CCM ikabidhi nchi kwa rais mpya japo kwa shingo upande. Naamini JK hatapenda kubakia m/mkiti wa chama kisicho na dola, hivyo atabwaga manyanga na...
Je CCM wanajua kwamba lolote linaweza kutokea kabla ya uchaguzi mkuu tarehe 25/10/2015?
Mwenyezi Mungu aepushie mbali, ila ikitokea mathalani mgombea urais wao akapatwa na janga kama ajali, maradhi au kufariki dunia kabla au wakati wa kampeni basi atakayechukua nafasi yake si mwingine bali...
1. Baada ya mtuhumiwa kukamatwa pale st.Gapar, je alisafirishwa hadi Dsm?
2.Mtuhumiwa alipotua pale airport chini ya escort ya polisi wakiwa na mabegi yenye fedha za ushahidi, je aliwekwa mahabusu kituo cha jirani, kwa mfano pale stakishari na kidhibiti kikafungiwa stoo?
3.Kama siri za mpango...
Chini ya kapeti: unaundwa muungano mpya na madhubuti usiojali itikadi ya vyama vyote vya upinzani kwa lengo moja tu - kuing'oa CCM madarakani Oktoba 2015.
This coalition 'United Forces against CCM' ni moto wa kuotea mbali, tofauti zote zimezikwa rasmi kukabiliana na adui mmoja tu, CCM!
Nina...
1. Hakuna tume huru ya uchaguzi.
2. Vyombo vya ulinzi na usalama vya dola havina imani na upinzani kuingia ikulu mwaka huu.
3. Yeye binafsi haonyeshi dhamira ya dhati ya kuitamani nafasi ya urais kama ilivyokuwa mwaka 2010.
Mara tu baada ya jina la mgombea urais kupitishwa na vikao husika na kuwekwa rasmi hadharani, kutakuwa na competition kali ya kusaka vyeo vya kuteuliwa. Mathalani Mungu jaalia kateuliwa edo, basi kila mwanasiasa kutoka chama tawala atajitambulisha kama mpiganaji kwenye kampeni, ili mlengwa...
Endapo kutakuwa na vuguvugu la mtikisiko ndani ya chama baada ya CC kukata jina la EL katika orodha ya wagombea urais, basi atatakiwa kutoa kauli ya kiungwana kama ile aliyoitoa dk. Bilal mwaka 2005 alipolazimika kumpa nafasi Amani Karume kugombea kwa awamu ya pili.
'siwezi kufanya vingine...
Serikali itoe kipaumbele kwa wenye biashara ndogo ndogo na wasifanye mzaha na mali za watu jamani! Huu mtindo wa mgambo kuteka bidhaa za machinga kwa maslahi yao binafsi haufai kabisa!
Historia itasomeka hivi: hapo zamani za kale serikali ya Tanzania...ilitaka wananchi wake waipigie kura ya maoni Katiba inayopendekezwa tarehe 30/04/2015, maaskofu na ukawa wakatia ngumu, na zoezi likasitishwa kwa shingo upande na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi (NEC).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.