Wengine hawana staha wala chembe ya aibu.Ujinga,uzuzu na ujuha ndo umewatawala akilini.Msichana kamwe hawezi kukusahau sura labda jina,na ndo mana unaweza zungumza nae machache ukijua hakujui ghafla anafunguka na profile za watu mashuhuri wa kitaa unaowajua.
Niliyewahi kuwa nae,alinijali na aliheshimu maamuzi yangu.Alitumia muda mwingi kujua magumu nayopitia na daima alinipa moyo, nilibeep kumuacha ila mwepesi wa kuomba msamaha.Aliweza kutenganisha Pesa,Mapenzi na Utu.
Najiheshimu na pamoja na biashara zake bado hana ushawishi wa kuniweka dilema.Nimemwambia mapenzi kwa sasa sipendelei na namuheshimu sana japo yeye hatambui hilo.
Muhali gani mabibi na mabwana!Mie mzima wa mwili ila mgonjwa kifkra.Nilibahatika kupata elimu mpaka ya chuo kikuu,niliajiriwa ila niliacha kazi kutokana na matatizo ya kifamilia yalonitaka kurudi nyumbani. Nilifanikiwa kutatua matatizo hayo yalodumu kwa muda mrefu ktk familia yetu.Mara...
Ahsante ila ningependa unipe mikakati ya kutoridhika na matatizo kwani wengi nikiwemo mimi sijaridhika na maisha hasa nikifanya tathmini ya mwaka mzima ulopita.Je nini kifanyike?Wazo la kujikomboa lingenifaa sana hususan la kibiashara.
Natamani wajasiriamali wasomi wangefunguka vle walianza.Nidhahiri kila mmoja ana wake utashi.Naamini ktk ushindi hata nikiuza maji,pipi,nguo na vyote visivyo na tija kwao wanaojiita wasomi.I hv long term goals n am optimistic in nature.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.