Kwa hili inabidi niwapongeze chadema.Chadema wanapigisha mamluki na watu legelege kwata hadi wanaona saa zinakata shoo haianzi. Kwa hili ni silaha kubwa.
Chadema km wameweka code vile, ukiingia bila code.Huoni movie,hawafungi mlango,hawakunyimi kuingia. Ila ukiingia ndio hivyo. Tumeona watu...
Pengine watu wamesahau kuwa kitu kinachofanya wazungu sasa waanze kuwa radicalized dhidi ya wahamiaji ni tabia za kishabiki. Kuingia kwa trump kulifuatana na taswira iliyoonekana upande wa Clinton.Wahamaiaji walimzunguka na kusamhabikia ktk ahadi zake ambazo zote zilikuwa haribifu kwa...
Mkoa wa kilimanjaro una issues, una siasa na mambo mengi. Una watawala wasioleweka wala kuelewa utamaduni wa huo mkoa. Siku zinaenda, maisha yanasuasua, watu wanakwenda piga mbali wakiwa na spirit of Kili.
Kisichoelewa Kilimanjaro inaishi kwa "Spirit of Kilimanajaro" .Ikifa hii spirit...
hii nchi sijui katulaani nani?Wakati nchi kibao zinahamisha office za balozi Tz na nchi jirani na kuhamishia office moja ktk nchi ambayo ipo stable na sio nchi ukiamka asubuhi kuna habari, watz kwa kiburi wanawapangia watu kuwa office za mahesabu ziletwe bongo. Kwa lipi?
Story ya Mkapa kuwa...
Huwa nawahurumia sana CCM ktk maamuzi mengine ingawa siipendi sana ccm. kuna mara CCM huwa wanacheza na issue hadi nashindwa kuelewa km hawajui au ndio mizaha iliyo zidi. Kinikia hili hili hata mwanachama wa kawaida sana mwenye akili huru wa chadema aliona mapema kabisa kuwa watu wameingia...
Baada ya matukio ya watu kushambuliwa na kuumizwa.Tayari watu weye akili ndogo wameona kuwa ni nafasi ya kufnaya siasa za kipuuzi. Sasa hivi wanazushia wengine kuwa hwatakuwa wazima.Na Wegine ni wazi kuwa wanataka jenga mazingira kuwa watu wote wameathirika hadi ubongo, ili baadae wajenge...
NGOJA NIPIGE KELELE KUWASAIDIA: ILI TUWAACHE POLISI WAFANYE KAZI BILA KUWASHINIKIZA KWAMBA WAHANGA NDIO WATUMIKE KATIKA UPELELEZI. UBAYA WA HII LOGIC AMBAYO I DONT LIKE IT NI KWAMBA. POLISI WATASHINDWA KUJIBU HAYA MASWALI?
1.JE ANGEKUFA INAMAANA POLISI WASINGEWEZA FANYA TAFITI?
2. KM POLISI...
Naomba tuheshimiane kwa hivi ,huu mchezo hauhitaji hasira.Nyie pia mlipeana pesa mkaacha familia znu kuwaunga muwapendao mkono kwa juhudi zao nyingi nyingi sana.
Sasa ni zamu yangu kumuunga Tunsu Lissue Mkono.Na hili halina rushwa kabisaa kabisaa.Kwa jinsi nimemuona huyu jamaa asivyoogopa...
Sio siku nyingi sana nilibahatika kuwa na mazungumzo na binti mdogo kutoka Kenya. Binti alikuwa very smart na tuliongea mengi sana. Nikamuuliza naijuaje Tanzania? Akasema mazuri mengi. Katika mengi hayo ni mazingira na vyakula,pia akajazia beuatiful people. Any way haya ni kama mafuta tuu kwa...
Duh. Nipo napata gahawa hapa, najiuliza miaka sio mingi nyuma. CCm ilikuwa na assets kubwa ya wachambuzi wa masuala ya siasa.Ilikuwa na waandishi wengi kila kurasa za mbele zilijaa chambuzi mbali mbali za watu wenye sifa kubwa ktk nchi, ccm ilikuwa na viongozi wa dini wenye kuheshimika mbele ya...
Wale viongozi wa dini wapo wapi jamani.Walinguruma sana kt knyuma za ibada wakiwaita mbowe na Lowasa majina mazuri.Kaka yangu,ndugu yangu,mdogo wangu tafadhali tuepushe damu kwa watz.Wakaliweka km vile chadema ndio wanataka mwaga damu na sio waliokuwa wanazuia. Waliahidi kuwa wana mmudu msikivu...
Lazima uwapende:Wakati Chadema wanang`oa CCM na mizizi yake,wao wanaitoa chadema kupe kwa furaha.
Ukitaka angalia ushindi wa Chadema.Lazima uangalie situation km Generational war. Chadema wameipita ccm kwa vizazi na vizazi, ndio maana ccm hata ukiwaeleza hatari iliyopo mbele yao hawawezi amini...
CCM jamani imefiia pabaya sana. Yaani leo ningekuwa mwandishi ningemchapa msemaji wa ccm vibao. Kelele zote kuwa atakuja jibu hoja.Kaishia kuongezea tuhuma tena za kipuuzi sana.Tuhuma zile zile za ccm ktk uchaguzi ziziso na mashiko ingawa zilipaswa fanyiwa kazi na polisi kwa vile ni tuhuma za...
Polisi wanatia huruma tena huruma kubwa sana.Ukizingatia na elimu zao km walimu wetu.Kuwa unatakiwa felifeli kiasi fulani ndipo ukimbilie huko au siku hizi ukishasomeshwa na aina ya walimu kama akina Mkumbo,Bhana, na mhongo basi mjomba anakushtua ukiwa polisi unaweza kwea ngazi harak haraka...
Kuna mambo yanahitaji umakini, hofu ya Mungu na utulivu wa akili sana. Mchungaji Gwajima naomab unisamehe km nitatumia ulinganifu usio makini sana. Kwanza mimi sikuwa nakujua ,wala kukufuatilia achilia mbali hata kujua km nakuchukulia serious. Baadae nikakufahamu kwa huku nikiwa na taswira ya...
Pengine nionyeshe huruma yangu tuu kwa ccm na kuwapa ushauri wa haraka.Wasiendelee jidanganya kwamba wanaweza dhibiti habari kirahisi km walivyojenga utamaduni.Pia wajue kwamba uwepo wa mitandao ya kijamii umefanya mfumo fulani ambao ni km akili kubwa mbayo inatumia mjumuimo wa mbongo na vichwa...
Kwa jinsi naona jitihada za utawala huu, na juhudi za kujinasibu na sera za mwalimu Nyerere ni wazi ninachokiona ni km utaifishaji wa kila kitu kiwe cha umma tena. mara nyingi nikiwa na mashaka na ninachokiona huwa najaribu fikiria inawezekana ni askari kanzu wa Mkapa kaamua mrekebishia...
Kuna msomi mmoja kanjanja aliwahi kusema anavyoiona CCM km MTI MKUBWA WA MBUYU HIVI...Mimi napenda tuu kuungana nae.Ila mimi naiona CCM tofauti sana. Mimi naiona CCM km Mpishi fulani anayeheshimika na kuogopwa sana. Naiona km mpishi aliyeamua kuinia jikoni kuthibitisha upishi wake, na kwa vile...
Rombo wanafanyiwa mizaha mingi sana ila pia wana mengi mazuri wanafanya.Wana ujasiri na juhudi ktk kuchapa kazi hadi bahati zao zinawakuta mbele ya safari.Kwa ujumla wanatengeneza bahati kwa juhudi na kazi. Ingawa Pombe na majukumu ya familia vimewapa publicity mbaya.
Pamoja na hayo kuna...
Well, sio mbaya nikiwashirikisha wenzangu ktk fikra zangu za sauti kubwa.Nadhani tutakuwa tumejiongeza kifikra na kujenga mazingiza ya kujiandaa kwa situations mbalimbali. Well, Ingawa kwa sasa bombadier yoyote itakayoingia nchi kupitia mmiliki mwingine asiye serikali lazima habari zijae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.