Daktari mmoja alikuwa mlevi mpaka ikabidi apelekwe kwenye sektarieti ya maadili na mahojiano yalikua hivi; kiongozi:kwanini unalewa kwa kiwango hicho wakati unajua madhara ya pombe! daktari:asante sana,hivi unajua wote tutakufa sasa kwanini nife na mapafu na maini mazima?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.