Search results

  1. J

    Petroli yashuka kwa Tsh. 7, Dizeli Tsh. 74 Dar

    Kwa bei hii ya mafuta ya taa miti itaponaje, mazingira vipi, mabadiloko ya tabia nchi vipi, nishati nyingine kama umeme wa maji vipi!!
  2. J

    Stendi ya Magufuli kukosa eneo la abiria kupumzika ni kero kubwa

    Issue ni kutafuta usafiri ila usafiri unaweza usiupate kwa wakati, hivyo sehemu ya kupumzika au kukaa ukisubiri basi lifike ni muhim sana, kubali tu kuwa wamechemsha la sivyo kama wewe ni mmoja wao!!!
  3. J

    Viongozi wa Klabu ya Simba mna maswali ya kujibu, michango ya Ujenzi wa Uwanja imeshia wapi?

    Viongozi wa Klabu ya Simba mna maswali ya kujibu, michango ya Ujenzi wa Uwanja imeshia wapi? Ungeuliza na kwa Yanga pia kwani wakati huo nao wachangisha kwa wapenzi,mashabiki na wanachama wao!
  4. J

    TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

    Hiyo ndioYanga(byutbyut) na hao ndio viongozi wa Yanga(byutbyut), siku zote wanafikiria kinyume na wanatenda kinyume, sheria na kanuni zichukue nafasi yake! TFF waweke busara pembeni ili byutbyut wasije wakaeneza kirusi cha utovu wa nidhamu na kushusha heshma ya soka letu!!!
  5. J

    Hivi R, L na H, ni Ugonjwa wa Taifa?

    Siku hizi ni tatizo la kuiga/ulimbukeni, zamani waandishi na watangazaji wa vyombo vya habari kutoka sehemu mbalimbali za nchi hii walikuwa hawafanyi makosa hayo, siku hizi wanaiga kama anayeharibu ni maarufu au msomi.
  6. J

    Video: Mwalimu anayetuhumiwa Kulawiti, Kubaka Watoto wa Shule ya Msingi asomewa MASHITAKA 6 MAHAKAMANI

    Afungwe maisha, na sheria ibadilishwe iwe kunyongwa hadi kufa.
  7. J

    Adhabu ya TFF/bodi ya ligi kwa Mbwana Makata, sio kila gari ni Ambulance.

    Kama yote ni sawa kwanini Prado isingepeleka mgonjwa na ambulance ikabaki, tuache ndoto za mchana.
  8. J

    Serikali yataka Watanzania kumpuuza Profesa Assad kuwa 60% ya Viongozi wa Umma nchini hawana uwezo

    Huyu Msomi Prof Assad alitumia tools gani kupata hizo %
  9. J

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Kilosa Morogo internet ni dhaifu sana,na bado ni 3G, tigo, airtel, vodacom ni 4G
  10. J

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Teknologia isiwaache, endesheni vipindi kwa teknologia ya karine hii na vipindi viendane na karine hii bila kutoka kweny maadili mema!!
  11. J

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Logo ya TBC, namba hazionekani vizuri, ikiwezekana ziwe kubwa na ziwe na rangi tofauti na blue, namaanisha ele 1,2na 3
  12. J

    Wanaovaa hovyo Vyuoni Kudhibitiwa.

    Bigup Prof. Usomi ni pamoja na kujitambua, darasani sio chumbani, disco au ukumbi was usiku. Wadhibitiwe!!
  13. J

    Marekani kuhusika na utekaji nyara wa wasichana Nigeria

    Kutekwa kwa waschana 200 ni tukio kubwa mno ila cha kushangaza ni kuwa Umoja wa Afrika na hata nchi moja moja wote wamekaa kimya, jambo hili sidhani kama nila Wanaijeria peke yao, hata wanaojiita wanaharakati walitakiwa wapaze sauti zao, leo ni Nigeriavkesho inaweza kuwa kwingine, hivyo nchi...
  14. J

    TANZIA: Bibi Foibe Reuben Kisavuli Msuya mtoto wa Sabuni amefariki Dunia

    RIP bibi Foibe, pole sana Eze yote ni mapnzi ya MUNGU, acha MUNGU aitwe MUNGU na mapenzi yake yatimie, yeye alitoa na sasa ametwaa jina bwana lihimidiwe, haleluya!!
  15. J

    Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Yalikua maneno ya mdomoni na si kutoka moyoni!
  16. J

    Haya sasa kwa wale wapenzi wa nyota (horoscopes)

    Ya Kaisari mpe Kaisari na ya Mungu mpe Mungu!!!!!!!!!!!!!!
Back
Top Bottom