Habari za zenu ndugu wana Jf.
Hitifaki imezingatiwa:
Nimeanza kutumia jamii forum miaka 5 iliyopita kwa User name tofauti tofauti na yote kilichonifanya mpaka nibadilishe majina ni kutokana na waongozaji wa mtandao huu kutufungia Account zetu bila sababu maalumu za kueleweka.
Kama ni adhabu...
Habari wana jamii forum.
Kama kuna mtu yoyote ambae anauza mtungi wa Gas Empty mgodo wa KG 6 naitaji aniuzie anifuate PM tuongee , Najua sasahivi Wanafunzi wengi wa vyuo wameshamaliza na wanarudi majumbani kwao.
Amani ya mwenye kumiliki huu ulimwengu hipo pamoja nanyi.
Masheikh kutoka NChi mbali mbali Dunian ikiwemo nchi yangu pendwa kabisa ya Tanzania wamefika katika Club ya Manchester united kwa ajili ya kufanya Dua kubwa kwa maandalizi ya msimu ujao.
Nini mtazamo wako.
Baada ya kuangalia hiyo...
Kunaitajika chumba kimoja na Sebule maeneo ya Buguruni.
Maelezo muhimu:
1.nyumba iwe kwenye mazingira mazuri.
2.nyumba isiwe na wapangaji wengi.
3. Kuwe na maji ndani na umeme au kama akuna maji basi yawe yanapatikana karibu sio mbaya.
4. Kodi iwe Elfu 60 mpaka Elfu 70.
Namba ya Simu 0714 768080.
Habari za muda huu Mabibi na Mabwana.
Naitaji msaada WhatsApp yangu imekorapti tangu Asubuhi simu hipo kwenye Internet lakini WhatsApp Aifanyi kazi nikituma SMS aziendi.
Naogopa Ku UnInstallation kwasababu nipo nje ya Tanzania natumia WhatsApp kwa namba yangu hiyo hiyo ya Tanzania sasa naogopa...
Itifaki imezingatiwa kwa sheria za JF.
Kutokana na fyagio la chuma kwa watumishi wa vyeti feki na kushuka kwa uwendeshaji wa baadhi ya makampuni , umenikumba mpaka mimi kwasasaivi inafikia mwaka 1 sina kazi mke nimemrudisha kijjini naunga unga tu mjini Dasalama.
Nimepata kazi ya Kuwa Kondakta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.