Zitto Kabwe na Katiba mpya
Mwandishi Wetu - Toleo la 337
5 Feb 2014
WIKI takriban mbili kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba, mjadala wa muundo wa serikali tatu uliopendekezwa katika Rasimu ya Pili ya Katiba mpya umeendelea kupasua vyama vya siasa, Raia Mwema ikielezwa kwamba Chama cha...
Sasa hapo kosa la DW ni lipi? Maalim Seif kaitisha mkutano na media na kuwaeleza kuwa kutokana na fomu za matokeo kutoka vituo vyote vya kupigia kura kwamba ameshinda. DW kama chombo cha habari wameripoti tukio hilo moja kwa moja, kosa lao nini?
Mi sijakuelewa mkuu. Ni hubby ndiyo aliyovaa hiyo condom au wewe. Maana umesema umeitumia kwa mara ya kwanza na hukuenjoy mpaka umeivua, then hubby nae hakuenjoy sasa nani aliyevaa condom ni wewe au hubby?, au hujui matumizi ya neno hubby?
mabasi ya kuja magu moja kwa moja kutoka Dar ni mabasi yaendayo Musoma tu ambayo yanapita Magu saa 12 asubuhi baada ya kulala Mwanza mjini, nayo ni haya yafuatayo. 1. Mohamed trans, Musoma express na Osaka. karibu sana Magu ukifika nipm.
Pole wewe marafiki mimi ni ndugu zangu wa upande wa baba kabisa. Mimi nimekulia kwa mama, yaani hao ndugu zangu usipowatafuta na wao hawakutafuti mpaka uanze wewe. Na nilivyoacha kuwatafuta nahisi undugu umekufa maana hatujawasiliana miaka 5 sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.