Hi guys!
Let me declare,I'm Diamond Platnumz fun but also I support any bongo fleva artists who are pushing hard to make sure our music dominate airways internationally.
Kiufupi pamoja na kwamba Mimi ni shabiki wa diamond platnumz lakini hivi karibuni nimechoshwa na tabia yake ya...
Nimekua nikiona mara kwa mara hivi karibuni event nyingi za harmonize basi Cloud's TV na TV-E wanarusha live,tofauti na vituo vingine,
Na hata Show's nyingi bure za pale nyuma kidogo baada ya konde boy au aka Tembo au jeshi,kujitoa WCB wasafi,clouds na E-fm walikuwa very close na harmonize.
Na...
Wakuu Habari. Hope mu wazima.
Wakuu naona habari zinazo-trend Social Media ni kuhusu Wasafi Festival tu. Hasa ujio wa Wizkid, Innosb, Tiwa Savage nk
Upande wa pili Cloud's na EFM kumepoa sana na hata team kondeboy. Na walikuwa wanapromo kubwa sana ya kumpigia kura kondeboy huko MTV Awards...
Wakuu amani iwe pamoja nanyi!!
I hope wote tuwazima wa afya tele!!
Kama heading inavyojieleza hapo juu
Tanzania imejaariwa kuwa na media nyingi sana,na kuna baadhi ya media house zili-dominate katika kipindi fulani.
Mfano kipindi hicho sahara media group,Ipp media na Tbc enzi hizo,
Media...
Habari zenu wakuu!!
Kama heading Inavyojieleza,
Kwa sisi wafuatilia habari za kiburudani hapa tz,ishu kubwa inayotrend ni mkasa wa konde boy kujitoa WCB,ambapo anatakiwa kulipa hio contract termination penarty kiasi cha tz sh.500ml + other charges za nyimbo na rights zingine.
Jamaa anendelea...
Habari wakuu?,I hope you do good.
Diamond platnumz leo wakati wa kutambulisha watangazaji wapya wa vipindi vya michezo pale Wasafi HQs.
Mbele ya wageni waalikwa na mgeni rasmi waziri wa michezo Mh, Dkt.Mwakyembe.
Ametangaza kuwa ndani siku chache zijazo yaani 3, Wasafi TV itakuwa inaonekana...
Amani iwe nanyi wadau!!
To be honest mimi nimekuwa fun wa Trump tangu wakati wa kampeni 2016.
Na nimekuwa nikikubali maamuzi na movements za Trump kwa 100%,since day one.
Moja kati ya mambo niliyomkubali Trump ni katika:
.#Kujenga uchumi imara USA.
.#Kuimarika kwa ajira na wages huko US...
I Hope Mu wazima ndugu wadau,
Nilikuwa Sijasikiliza redio hasa kipindi cha Xxl ya Cloud's fm,kwa muda mrefu sana,
Basi leo nikiwa nawasikiliza nimesikia wakiwahimiza mashabiki wa muziki wa huko Mwanza ambako fiesta itaanzia kwenda kupiga kura na kuwachagua wasanii wanaowataka kuwaona,katika...
Wakuu Habari!!
Habari inayotrend katika intertainment industry ni Diamond platinumz kusaini deal Kama ambassador wa PariMatch.
Sisi Kama vijana Inabidi tuache majungu na tuige kwa watu waliofanikiwa na kuongoza kwa mifano,
kwa Tanzania katika tasnia ya muziki bila Shaka Diamond platinumz...
Habari Wakuu
Nimeona leo Waandamanaji huko Hongkong wakiimba wimbo wa Taifa wa USA na kupeperusha bendera za USA kila kona,na wakati huo huo wakiimba Jina la president Trump na USA.
Suala la msingi ni kuwa wanaiomba USA na raisi Trump awaokoe kutoka mikononi mwa utawala kandamizi wa china...
Leo mapema uko USA kampuni kubwa ya technology duniani google au unaweza kuiita alphabet,imetangaza kuacha kufanya kazi na kampuni ya kichina ya Huawei.
Google wamesema simu zote za Huawei za zamani zitaendelea kupata technical support yaani android operating system,kwa muda fulani lakini...
Tanzania inazidi kupiga hatua katika investment ya media house's Tuliona azam tv alivokuja na ni azam ni namba moja upande wa TV studio's ila kwenye radio bado.
Upande wa radio hapa tz kuna watu wamewekeza vizuri Sana,kama E-FM,na nyinginezo mikoani.
Lakini katika wote hawa wasafi chini ya...
Natumahi tu buheri wa afya Wakuu,
Sasa habari ni kuwa hatimaye china yapiga magoti mbele ya marekani baada ya kuzidiwa na Trump tarriffs,hali iliyopelekea hapo nyuma Kama miezi 6 ilopita hali ya masoko na biashara kuyumba uko china na Asia kila kwenye mizizi ya china.
Mwanzo china walijitia...
Habari ndugu wadau wa Jf,
Nikiwa napitia mitandao mbalimbali Jana
Nikaona tangazo la wasafi festival litakalo fanyika huko nchini Oman,mwezi wa nne.
Kwakweli nikafurahi kuona vijana hawa wa kitanzania wanavyojituma kutangaza muziki wetu wa bongo fleva kimataifa, tangu waanzishe hili Tamasha...
Salaam ndugu wadau,
Leo mapema huko marekani,
katika testing and launching base za NASA,
kampuni ya genius Elon munsk,Space X wamefanya testing ya engine ya rocket Aina ya falcon na kwa asilimia kubwa jaribio limefanikiwa na spacecraft dragon inatarajiwa ku land katika international space kesho...
Salaam Wakuu.
Tukiachana na ishu ya lowassa kurudi ccm,maana si mwanaharakati na ameshindwa mikikimikiki ya kule,maana kazeeka tayari kule kuna hitaji damu ya moto inayotembea kwa speed Sana sio yeye,kwaio kashindwa kaona arudi kwa wazee wenzie kwenye maisha simple.
Wakati tukiendelea na...
Inashangaza kuona watanzania wanamshutumu msanii diamond kisa sio hajaenda msibani,
Bali tu hajaposti chochote juu ya kifo cha legend wa bongo fleva Ruge mtahaba R.I.P.
Lakini Mimi nimefatilia hili swala nimeona wasanii wengi wameposti kuhusu kifo hiki tangu siku ya kwanza,
lakini hadi Leo wengi...
Salaam ndugu wadau.
Kama heading inavyojieleza,hivi karibuni tangu tundu lisu apate nafuu na kuanza ziara uko ughaibuni,na kutaja maovu yanayofanyika Tanzania,kuna watu wanaweweseka na wamechanganyikiwa,
Hii ni baada ya ukweli kuwaingia na kwachoma na watanzania na dunia imeanza kuelewa nini...
Hivi ni vitu muhimu ambavyo tunavitaka kwa sasa,na raisi yeyote atakae fanikisha haya naamini watanzania wengi tutakuwa tayari kumpa muda wa nyongeza kwa namna moja au nyingine Kama shukurani zetu kwake,maana tangu tupate uhuru nchi inaendeshwa kwa misimamo ya mkuu wa nchi na sio system,maana...
Ndugu wanajamvi nadhani nyie ni mashaidi wa hawa ndugu zetu wa bongo movie wamekuwa wakilalamika kuwa soko la muvi zao linakufa na Mimi naweza kusema limekufa kabisa,lakini wachawi ni wenyewe I mean Wamejiroga,maana kila muvi story ni zilezile wanakosa Ubunifu wa kutengeneza story kali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.