Uwe Uzungu Wa Ngozi Au Wa Moyo Wa Kistaarabu ? Vyote Siwezi Mbele Ya Pisi Kali Tena Ipo Karibu Yangu Kabisa,mimi Hapana Siwezi,
labda Ningekuwa Malaika,
Japo Wkt Wa Nuhu Napo Malaika Nao Walishindwa Kujizuia Wakawala Binadamu,fanya Masihara Na Mishepu Ya Kiafrika Nn,ni Asili,
Usirudie...
Shida Nao Wanawake Unaweza Ukamchukulia Ni Rafiki,lakini Yeye Akiulizwa Na Rafiki Zake Anakuponda Mara Nyuki Wa Mashineni Yule,mara Ooh Hasimamishi,
sasa Ni Bora Umtafune Kwanza Heshima Iwepo Ndio Mrudi Meza Ya Mazungumzo Kama Mtaendelea Na Urafiki Wa Kawaida Au La
lakn Urafiki Na Mwanamke Mzuri...
Mmependelewa Muda Mrefu Sana Now Ni Zam Ya Wengine,hilo Daraja Limekula Hela Zetu Nyingi Sana,mtaleta Hadi Mabandiko Kwa Kisukuma Humu Lakini Haita Saidia.
Leo Mnaiamini CNN Kesho Ikitoa Habari Negativ Kwa Upande Wa Urusi,mnasema Ni Propaganda Za Western Medias,so Media Za Kuziamini Ni Zipi Tutajieni Source Za Kuziamini Msituumize Vichwa.
Japo Siungi Mkona Upande Wowote Ila Huyo Balozi Ni Kopo Haelewi Anachoongea Au Hakuielewa Maada,ndio Wale amepewa Jezi Na Kuvaa Na Mchezo Haujui.
Wewe Ulieandika Huu Uzi Je Unaona Kuna Ukweli Hapo?
Tuambie Ni Maeneo Gani Yanaonyesha Democracy Imekua?
Usije Ukasema Kisa Kuna Mikutano Ya Hadhara...
Sasa Je ! Katika Hizo Wanazosemaga Siri-kali Za Serikali Hakuna Huo Utambulisho Wa Kuonyesha Kuwa Tanganyika Ipo Chini Ya Katoliki Ili Kila Kiongozi Mjuu Akiingia Ajue Na Kuobey Makubaliano Ya Kanisa Na Waasisi Wa Nchi ? Na Usipofuata Makubaliano Na Mwongozo Wa Katoliki Kuna Disadv Gani?
Ni...
Sio Lazima Wawepo Ofisini Daily,msomi Kama Mwabukusi Lazima Atakuwa Ana Setup Ya Ofisi Inayojiendesha Hata Asipokuwepo Yeye,Yupo Secretary Au Wapo Wasaidizi Wake,yeye Anaenda Siku Za Mahakamani Nk,sijui Kwa Mdude.
Apumzike Kwa Amani
Na Mwabukusi Anapata Nguvu Zaidi Ya Kuipambania Tanganyika Maana Wachanganya Udongo Ndio Wameishia Hivyo,au Kuna Waliobaki?
Tumpe Taarifa Wakili Wetu Msomi.
Duuh! Huyu Mwamba Huyu. Apewe Maua Yake Ayanuse Mapema.
Maana Naona Si Muda Mrefu Wanaweza Wakamzima. Na Kama akishinda Battle Ya Chama Na Serikali Kwa Kweli Atastahili Kupewa Position Kubwa Hapa Tz Miaka Ijayo Kama Reward Ya Uzalendo Wake.
Kwani Ww Unaona Aliyoyaongea Huyo Balozi Ni Ya Kweli? Huyo Balozi Ni Kunguru,. Tupe Mifano Hai Ya Hatua Za Kweli Zilizopigwa Na Tanzania Kidemokrasia ? Hakuna Kilichotekelezwa Zaidi Ya Ahadi Zinazopigwa Danadana Tangu Na Tangu.
“Pertamina seeks to expand its presence and acquire the majority shares in Mnazi Bay Bloc operation through its subsidiary Maurel & Prom,” Retno said in a joint press
Katika Hili Ngoja Nikapate Muongozo Wa Wakili Msomi MWABUKUSI Kwanza Ndio Nitajua Cha Kuchangia.
Hakuna Promo Hapo Wazee
St Francis Wanapiga Msuli Utadhani Kesho Ndio Mtihani,test Ni Almost Daily Na Wanamaliza Topics Zote Mapema Sana,mwezi Wa 4 Au 5
Baada Ya Hapo Ni Mitihani Tu,Tena Na Theory Na Pract Na Ni Migumu Acha,ukipewa Hutoboi Kiboya
Mwaka Wa 20+ Now Wako Form Vibaya Mno,alafu Ww...
Hizi Ni Habari Njema Sana Kama Waliopandikizwa Viungo Hivyo Wakiishi Kwa Muda Mrefu,kwani Watatupa Imani Na Wengine Maana Wahitaji Wa Viungo Hivyo Ni Wengi Sana,so Far Nguruwe Ni Wengi Majumbani Mwetu ,kwaio Gharama Zitashuka Na Upatikanaji Utakuwa Rahisi Tofauti Na Human Hearts Na Tutaokoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.