Freemasonry is a fraternity that encourages continual self-improvement by association and contemplation with other men that have sworn to uphold a certain moral code. “We make good men better” is a common motto.
In answer to the question “"What is it like to be a Freemason”, I answered with the...
Never shake a man’s hand sitting down.
Don’t enter a pool by the stairs.
The man at the BBQ Grill is the closest thing to a king.
In a negotiation, never make the first offer.
Request the late check-out.
When entrusted with a secret, keep it.
Hold your heroes to a higher standard.
Return...
Habari zenu wanakujukwaa, samahani naomba kuuliza hivi kuna mtu aliyewahi kupata kazi au hata kuitwa kwenye interview kwa kupitia website ya Brighter Monday?
Habari wakuu, naomba wa msaada wa namna ya kupata softy copies ya vitabu vya Abunuwasi na hekaya za bahlul mwenye busara!
Natanguliza shukran kwa atakae weza kunisaidia.
Habari wakuu? Kwa wenye uelewa naomba mnijuze namna ya ku download music on iphone.
Na je inawezekana kuhamisha miziki kutoka kwenye computer kwenda kwenye iphone?
My computer keep telling me that the operating system has detected that the cooling fan is not operating properly, continued operation is not recommended and may cause unpredictable behaviour that could result in a random shutdown data loss or possibly Leo system damage, the system will...
Habari zenu wakuu!?
nna Tv yangu ya samsung inch 24 ambayo kwa bahati mbaya nli iangusha chini, sasa imepasuka kioo! kwahyo nlikua naomba msaada wa kufaham kama inatengenezeka, na pia gharama za matengenezo zina range kuanzia kiasi gani.
Habari!
Nna Mdogo wangu wa kiume ambae amekuwa akisumbuliwa na ameoba muda mrefu sasa! Amekuwa akienda hospital na kuandikiwa dawa ambazo zimekuwa zikimsaidia Kwa muda mfupi then tatizo linajirudia tena. Naomba kuuliza kwenu dawa gani nikimpatia itamponesha moja Kwa moja?
Habari wakuu!
Samahani Kwa wale wenye uelewa kati ya dish LA zuku na star times lipi zuri, in terms of picture & sound quality, wingi wa channels na vitu vingine vingine!
Nna rafiki yangu ana ishi mkoani, ana girlfriend wake anasoma chuo flani cha diploma, sasa kwa bahati mbaya au nzuri jamaaa amempa mimba huyo binti, na mimba kwa sasa inakama wiki mbili. Ila jamaa na mpenz wake wamejadiliana wame amua bora waitoe hyo mimba..
Ila kabla hawajatoa jamaaa amekuja...
Habari wanajamiii wenzangu? Nataka kufungua account ambayo ntakua na deposit akiba ya pesa kila mwezi, sasa naombeni ushauri wenu kua bank ipi ni nzuri kwa kufanya hivyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.