katika pita pita zangu kutafuta vitabu vinavyohusiana na harakati za kutafuta uhuru Tanzania nimekutana na kitabu hiki UKWELI NI HUU (KUUSUTA UONGO) kilichoandikwa na Amani Thani ambae alikuwa muasisi wa chama cha Zanzibar Nationalist Party. Kitabu hicho amekiandika 1994 akiwa ukimbizi Dubai...
najua kuwa Wizara ya Michezo ya Tanznia imepatiwa ticket za kwa ajili ya mashindano ya world cup, za kuwauzia wananchi wake (kila nchi inapewa fungu lake)
hizi tiketi jamani zinapatikana kwa utaratibu upi?
i need 2 for atleast 2 different matches.
ahsanteni
Ningependa wapenzi wenzangu wa novels mnipe recommendation zenu za vitabu gani ni `must read`, manake vitabu kununua kidogo ni ghali kwa hiyo kununua kwa kubahatisha tu huwa kunachosha..
sibagui, huwa nasoma novels za aina zozote na kwa kuanzia tu ningependa kushare watunzi au novels ambazo...
you know you are in Tanzania when....
1) Bia inalipa kodi kubwa zaidi ya migodi kwa ujumla
2)rais anafurahia kupiga picha na hundi isiyosahihi
3)Marais wanaitwa mafisadi wanatulia tuli, ati kengele za mlango...
4)Waziri Mkuu anasema ndege inapaa, wakati wananchi hawamiliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.