WANANCHI wa Jimbo la Arumeru Mashariki, wameombwa kumchagua mgombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CCM, Sioi Sumari ili kumfuta machozi yaliyotokana na kifo cha baba yake mzazi, Jeremiah Sumari ambaye alikuwa Mbunge wa Jimbo hilo.
Mbali na hilo wananchi hao wameelezwa kuwa kwa kufanya...
Kwa mjibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania tunayo mihimili mikuu mitatu yaani Serikali kuu, Mahakama na Bunge. Hivi karibuni kuna taarifa kuwa mwekezaji mmoja (Kilimanjaro Kempisk) ameruhusiwa kupanua shughuli zake kwa kuihamisha mahakama ya Rufaa ambayo ndo mahakama kubwa kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.