Hapo tu ndo nnapokukubali mwanachi wewe... lakini wananchi wenzio huku nnapoishi mimi huku kijijini mwali kabule matombo huku, eti wanasema jana tumenunua mechi na yule mghanaley eti katumika jana!
Hawa jamaa zetu wa pale panapojaaga maji msimu wa masika, wako vizuri sana kwenye upande wa miziziology! Wanawekeza sana upande ule yani. Lakini linapokuja suala la kutandaza gozi la ng'ombe, mnyama shughuli yake hakuna asiyeifahamu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.