Ukitaka mahusiano yako yawahi kuvunjika fanya mambo haya
1. Dharau: dharau ni miongoni mwa sumu kali kabisa ambazo zaweza kuvunja na kuuwa kabisa mahusiano yako na mwenzi wako.
2. Uongo: hii ni sumu ya pili ambayo kwa kiasi kikubwa huchagiza kutodumu kwa mahusiano yako kwani mmoja wenu akiwa na...
Sasa suluhisho limekujia ewe ndugu ambaye unateseka na upungufu wa nguvu za kiume jambo ambalo linakusababisha ushindwe kuendelea na tendo. Tunayo dawa ambayo itakusaidia kurejesha heshima katika ndoa na mahusiano yako na swala la kugongewa itakua ni ndoto kwa sababu utakwenda kumridhisha mwenzi...
Hellow naitwa Hussein Msoleka all the way from Dar Es Salaam I'm a university scholar holding BAED in history and Swahili language also I'm a footballer though kama kuna team around Ukonga Banana njoo tuyajenge
Upo online, yupo online lakini kila mtu yupo busy na mambo yake, mnashindana nani awe wa kwanza kumsalimia mwenzake, kiburi, dharau vimejaa mioyoni mwenu, penzi lenu lipo tu kutambulisha kama nanyi ni wapenzi, hakuna raha wala amani katika uhusiano wenu kwa sababu hakuna anayetaka kujishusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.