Inashangaza kuona wilaya inayosifika kwa mapato makubwa kutoka katika zao la Bihashara la Kahawa inakosa shule ya Serikali ya kidato cha tano na sita.
Wilaya ya Karagwe inasifika sana kwa kuwa na hali ya hewa nzuri nawatu wake kuwa wapole sana ila cha kushangaza sana watu kuchulia upole wa...
Mimi nimeuliza swali hili kwa machungu makubwa sana, wakulima wa karagwe pamoja na kuangaika katika kuudumia kahawa, hawapewi chochote mfano pembejeo za kilimo, lakini pamoja na kuhudumia kahawa wenyewe baada ya kupata kahawa hiyo wanapangiwa kahawa na Serikali.Hapa karagwe kilo moja inauzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.