Mkuu, Huku Africa hii perception yako ita justify uzembe wa madaktari wakati wa uzazi pia.
Ingekuwa sahihi basi hatukuwa na haja ya kuimprove matatizo watu wanayozaliwa nayo, kama midomo sungura, matege na vinginevyo kwasababu hao watu wamazaliwa hivyo kwa sababu maalum!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.