Siku ya jana, tumeshuhudia na kusikia hukumu iliyotolewa na Mamlaka ya mawasiliano Tanzania juu ya kipindi maarufu cha Jahazi kinachoruka kupitia Clouds Fm.
Hukumu hiyo imekuja baada ya watangazaji wa kipindi hicho akiwemo G. Habash, Dj Fetty na wenzao kukiuka miiko na maadili ya utangazaji...
Habari za wakati huu ndugu zangu wa bara na visiwani, mashariki ya mbali na magharibi pia...
Mara nyingi nimekuwa nikilisikia hili swala kuwa wanawake wengi huvutiwa na wanaume wanaonukia zaidi kuliko wale wanaopendeza.
Suala hili imepelekea kunipa maswali mengi. Je, ukiwa umevaa nguo kuu kuu...
Habari za mchana waungwana..
Kwa yeyote mwenye pdf ya kitabu chochote cha Walter Rodney naomba anisaidie, nina shida navyo sana.
Ahsanteni, muwe na siku njema.
Wakuu mko vyema?!!!
Kwa yeyote mwenye link ya vitabu vya free au anaefahamu namna ya kupata vitabu kwa njia ya software ambavyo ni free kuvipata naomba anielekeze tafadhali.Lakini vyema zaidi kama ningepata link.
IJUMAA NJEMA KWENU.
Kwa mujibu wa ratiba ya TCU leo tarehe 06/10/2018 ndiyo ilikuwa tarehe ya mwisho ya kutoa feedback kwa wale walio chaguliwa thidr round lakini mpaka muda huu saa 9:44 hakuna kitu chochote katika website yenu na vyuo mbalimbali vishaanza kutoa admission letters kwa wale ambao wameshapita katika...
Naomba kupatiwa msaada kwa tatizo hili maana C P U ni ya mtumba aina ya HP nimenunua nimeona hyo shida na ina siku 3 tangu nimeinunua..nimejishauri kuirudisha lakini nikaona si vyema kwanza kabla sijaifikisha kwa wajuzi ambao wana utaalamu na mambo ya computer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.