Wadau wa kilimo naomba kuuliza nimesoma komnti na maelezo watu waliondika kuhusu kilimo cha maparachichi za 2021.
Naomba kuuliza vip kwa miaka hii 2023 bado kilimo cha maparachichi kinalipa?
Je, vipi kuhusu soko? Ukishalima uangaiki kutafuta wateja?
Naomba mnisaidie majibu mda si mrefu nataka...
Naomba kujua kuhusu bishara ya miti yambao Iringa. Ninataka kununua shamba ili nipande miti then baadae nije kuiuza. Nilichokuwa nataka kujua ni...
*Je, huwa inachukua miaka mingapi?
*Bei ya kila mti ni shillingi ngapi?
*Na pia gharama zingine kama zipo
*Na weza nikaanza na heka ngapi
Kuhusu...
Mimi ni wakala ila sina uzoefu nimeanza hizi mishe nina kama mwezi hivi. Naomba kuelekezwa kuna wateja wa Voda na wa Airtel huwa wana kuja na msg wakiwa wametumiwa pesa kutoka mitandao tofauti, naomba msaada, as soon as possible.
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwamba natafuta mashine ya kusajilia line za mitandao yote.
Naomba msaada wa maelezo jinsi ya kupata
phat_07
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.