Poa atakae jua anapofanyia mishe anicheki kwa namba hii 0756462379 laki saba na elfu hamsini si pesa ndogo nitamtafuta tu uzuri na mim nafanyia mishe hukuhuku kariako, leo nimezunguka Posta kwenye hilo jengo la Diamond Plaza nimemkosa
Risiti nilipewa na Muhuli wa Fago ila atakuwa anashilikiana na Fago kwasababu mimi sijakutana nae njiani, nilifika ofisi Fago alikuwa amevaa sare zao na anakaa ofisi zao
Habari huyu mtu pia mimi namtafuta hapokei simu zangu. Kwa dalili ninavyoziona anataka kunitapeli. Sasahivi anafanya kazi na kampuni nyingine inaitwa Dynamic Air and sea cargo Ltd, ofisi yao wanasema ipo Diamond plaza mida hii nimetoka hapo nimezunguka na polisi sijawapata yani hawapo hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.