Yy ajiulize toka amekuwa amekutana na watu kama yeye wangap kma sio yuko peke yake
Mwanaume mwenye akili timamu na watu kazin wamekuamin uendeshe ofisi zao unampa mtu hela zote akushikie afu umwombe tena
Hawa wetu wa kiswahili utawek 500k imalize mwez ikifik wiki mbili anakuambia mjomba alimeza shoka sijui mara mama kaanguka ilimrad tu uambiwe imeisha
Tuendelee tu kuwek mezan kila siku asubuh
Msimfiche mwambie ukwel amelogwa huyu
Ebanaae umelogwa huo ndo ukwel hakuna shortcut jifyetue kwanza huko ndo uanze shughul nyingne
Tafta n ww mtaalam utengenezwe muanze kushindana humo nda mwenye nguvu ndo mwenye mamlaka
Sema nn kusalimia salimia watu hovyo napo haijakaa fresh . Salimia mtu kma unashida nae au kuna kitu unataka kuuliza
Watu wanashida zao , wengine ma stress kibao jua ni kali na hela hakuna unaweza salimia mtu kumbe yuko mbali kimawazo
Yawezakuwa hata huyo sister alikuwa anamuwaza mgonjwa wake...
Yawezekana kumbeba Mzungu ilikuwa dili kwelikwel malipo yakutosha
Usishangae waligombania hiyo nafasi ya kumbeba. Kumtawala mtu mpumbavu ni kucheza na akili yake tu
Haya umeshajua unachezewa rafu ni jitihada gani umefanya au unafanya kujikwamua hapo ulipo
Tatzo la waafrika akili ndogo hatuitaji kutafuta mtu wa kumtupia lawama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.