Hallow,
Kuna watu ambao hawana wazazi/mzazi sasa wao wameishachoka maisha na kukata tamaa kwamba humu dunian hakuna furha kisa wao ni Yatima, hapana yupo Mungu ambae ni baba wa Yatima. Burudika na Wimbo ulioimbwa na Mimi unaitwa Yatima
Hallow
Mimi ni Muimbaji wa nyimbo za injili, nimejiuliza hill swali kwann sisi hatufanyi matamasha makubwa kama tunavyoona wenzetu wakifanya?
Shida ni nini? Maana najua tupo waimbaji wengi ambao tupo Tayar kuhudum ata bila malipo.
Sisi KAZI yetu ni kuhubili sio biashara hii.
Naomba...
hallow, wapendwa kama nilivyojitambulisha majina yangu pamoja na Kazi yangu, Nina changamoto ya mdhamini wa Kazi yangu ya uimbaji, maana Nina mashairi ya kutosha, natumain nikimpata mdhamini nitafanya Kazi hii kama sins Akili nzuri.
Ninakuomba kama Upo tayar nisaidie lakin pia naomba usambaze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.