Search results

  1. Madam Lucky

    Kwanini waimbaji wa nyimbo za dini hawafanyi matamasha makubwa?

    Ndio ila sasa hakuna matamasha
  2. Madam Lucky

    Natafuta wadhamini wa nyimbo za injili

    Ni kwel, ubarikiwe sana
  3. Madam Lucky

    USIHISI YATIMA MUNGU NI BABA WA YATIMA, BURUDIKA NA WIMBO HUU UNAOITWA YATIMA

    Hallow, Kuna watu ambao hawana wazazi/mzazi sasa wao wameishachoka maisha na kukata tamaa kwamba humu dunian hakuna furha kisa wao ni Yatima, hapana yupo Mungu ambae ni baba wa Yatima. Burudika na Wimbo ulioimbwa na Mimi unaitwa Yatima
  4. Madam Lucky

    Wapenzi wa gospel songs tukutane hapa

    Yeah ni kweli ila nyimbo zipo nying sana Joel_sitabaki kama nilivyo Madam Lucky_ Yatima
  5. Madam Lucky

    Natafuta wadhamini wa nyimbo za injili

    Asante sana. Na nitajitaid ili nifanye vizur zaid maana ndo naingia
  6. Madam Lucky

    Natafuta wadhamini wa nyimbo za injili

    Amina najua ntafanya ivo maana hii ni album yangu ya kwanza
  7. Madam Lucky

    Kwanini waimbaji wa nyimbo za dini hawafanyi matamasha makubwa?

    Umeongea jambo la maana sana, ila sasa Nani aanzishe? Ndo ivo wenye maono hayo hatujiwezi, ni Nani atasaidia hili tatzo? Tunakufa na vipawa vyetu jaman
  8. Madam Lucky

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Nitafanya maombi ya toba kwa ajili yako. Vinginevyo ni hatar, unajua nimekubali kwamba matatzo tunayopata hapa dunian sababu Kubwa ni watu kama nyie, hii ni kufuru
  9. Madam Lucky

    Kwanini waimbaji wa nyimbo za dini hawafanyi matamasha makubwa?

    Hallow Mimi ni Muimbaji wa nyimbo za injili, nimejiuliza hill swali kwann sisi hatufanyi matamasha makubwa kama tunavyoona wenzetu wakifanya? Shida ni nini? Maana najua tupo waimbaji wengi ambao tupo Tayar kuhudum ata bila malipo. Sisi KAZI yetu ni kuhubili sio biashara hii. Naomba...
  10. Madam Lucky

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kazi yenu ni nzur sana but karagwe Tanesco imekuwa ya shida sana Kila wakati ni umeme umekatika,bila ata taarifa
  11. Madam Lucky

    Natafuta mjuzi, mwaminifu na mtiifu mwenye utaalamu wa kuandika tenda

    Mtafute MTU huyu 0621335356 Atajitolea ni MTU ambae hana makuu atakufanyia KAZI yako vizur.
  12. Madam Lucky

    Naitwa Madam Lucky

    Haha kwa mbaaali
  13. Madam Lucky

    Naitwa Madam Lucky

    Asante mpendwaa
  14. Madam Lucky

    Naitwa Madam Lucky

    Hahahahaha
  15. Madam Lucky

    Natafuta wadhamini wa nyimbo za injili

    Hahahaaha jamanUOTE="kalagabaho, post: 28493757, member: 30674"]Kuna mahali umekatika kama Yondo sister na sehemu nyingine umedokoa ukatazama juu ukashuka chini af ukang'ata kidole kama Aurlus Mabele au kanda bongo man!! daah.. mi nimekukubali sana Hahahaa
Back
Top Bottom