Hallow,
Kuna watu ambao hawana wazazi/mzazi sasa wao wameishachoka maisha na kukata tamaa kwamba humu dunian hakuna furha kisa wao ni Yatima, hapana yupo Mungu ambae ni baba wa Yatima. Burudika na Wimbo ulioimbwa na Mimi unaitwa Yatima
Umeongea jambo la maana sana, ila sasa Nani aanzishe?
Ndo ivo wenye maono hayo hatujiwezi, ni Nani atasaidia hili tatzo? Tunakufa na vipawa vyetu jaman
Nitafanya maombi ya toba kwa ajili yako.
Vinginevyo ni hatar, unajua nimekubali kwamba matatzo tunayopata hapa dunian sababu Kubwa ni watu kama nyie, hii ni kufuru
Hallow
Mimi ni Muimbaji wa nyimbo za injili, nimejiuliza hill swali kwann sisi hatufanyi matamasha makubwa kama tunavyoona wenzetu wakifanya?
Shida ni nini? Maana najua tupo waimbaji wengi ambao tupo Tayar kuhudum ata bila malipo.
Sisi KAZI yetu ni kuhubili sio biashara hii.
Naomba...
Hahahaaha jamanUOTE="kalagabaho, post: 28493757, member: 30674"]Kuna mahali umekatika kama Yondo sister na sehemu nyingine umedokoa ukatazama juu ukashuka chini af ukang'ata kidole kama Aurlus Mabele au kanda bongo man!! daah.. mi nimekukubali sana
Hahahaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.