Natafuta mzamini atakaye nizaminh ili niende studio nika record nyimbo zangu kwa mawasiliano zaid piga cm kwenda 0658142790au0767142760 na email zmbishi@yahoo.com..
Kwa mara ya kwanza napenda kuitambulisha kwenu wadau ngoma yangu mpya inayo kwenda kwa jina la UWAZI inayofanyika ndan ya huruma records na prodyuza endlu ndan ya tanga itakayo kamilika kabla ya tar26 mwezi huu imetetea sana jamii na kuwa umbua mafisadi na iko poa sana naimani ukiisikia mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.