Habari wakuu.. Katika harakati za hapa na pale nikakutana na huyu mrembo wa kitanga kabila mzigua. Tumekutana kwenye site ya ujenzi yeye ni chief cooker hapa na mimi ni electrician. She's so cute, mpole na mtu wa dini sana (Muslim).
Kiukweli ukiachilia uzuri alionao nimevutiwa pia na maadili...
Dunia rangirangire leo utaona hili kesho usikie lile. Shetani nae yupo kazini anaendeleza ubaharia wake mpaka nchi kavu.
Ajabu sasa siku hizi hataki watumishi vikongwe anataka vijana wenye nguvu zao na ndio hao anaowatumia sasa kukwamisha vijana wenzao.
S'kia hii.
Miezi kadhaa nyuma braza...
Habari waungwana, nipo kwenye dilemma ndugu zangu, naombeni ushauri wenu please.
Mwaka jana mwishoni nilianzisha mahusiano na binti fulani, tukatokea kupendana sana kiasi kwamba binti akawa ananiganda kila mahali, nilipo naye yupo.
Nakumbuka kipindi hiko mama yangu mdogo alifungua biashara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.