Napenda kutumia nafasi hii kumuomba radhi ndg yangu Kinana kwa maneno ya kizandiki yasiyo na ukweli wowote. Niliowaamini wameniangusha kwa kunipa taarifa zisizo sahihi
Hii ndiyo serikali ya wanyonge, inayowajali wanyonge na kufanya kazi kwa ajili ya wanyonge kama wewe sio mnyonge kamwe huwezi kuelewa namna gani serikali yetu sikivu inavyotujali wanyonge.
Kikwete ni mzee wa anga ana kilometers za kutosha angani, so, title yako ingetakiwa isomeke "Kikwete kaamua kumpandisha Magufuli ndege" hii inge.make sense 🤣🤣
Ni vizuri kuchukua tahadhari kabla maafa hayajatokea zaidi.
Hebu tujikumbushe hali ilivyokuwa dakika chache kabla ya ajali. Video hii ilichukuliwa na abiria aliyekuwa kwenye hiyo ndege akaituma kwa ndg yake kabla mambo hayajaharibika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.