Wadau,
Nimeomba nafasi ya kusoma katika chuo cha ku-operate mitambo mikubwa pale kijitonyama dsm na nimepata nafasi, mtihani unakuja ktk soko la izo fani baada ya kumaliza kozi yangu ya miezi miwili na ada yake bado sijalipa lakini naomba ushauri nisomee EXCAVATOR au GREDA?
Nakaribisha ushauri...
Kama heading inavyojieleza JUU apo, nina kiasi cha milioni twenty lakin naitaji ushauri kuhusu fursa ya kufanyia, nakaribisha mawazo ya kibiashara zaidi
Wadau, Ivi fani ya ku operate mitambo mikubwa kama bulldozer, grader, forklift, na mingine HEAVY EQUIPMENT inalipa vizuri?
Chuo chao kipo wapi, mwenye kujua utamu wa fani hii anisaidie tafadhali wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.