Jibu;
1. Ulimuuliza nani
2. Kwenye kikao gani
3. Wewe kama nani katika kikao hicho
4. Hao wadau ni akina nani hapo UFIPA
5. Ulikuwa umewekewamo au K2 cha Chuga pale kimandolu..
Bure kabisa
Ninakunywa majani fulani ya kichina bila sukari. Yaani unajua sukari iko addictive kama cocaine. Ukiacha kutumia unasahahu kama ulikuwa unatia sukari kwenye chai.
Yaani sukari ni shetani mbaya ktk afya za watu wengi sana. Yaani presha, kisukari, magonjwa ya moyo sijui chanzo hasa kikubwa ni...
Nina miezi 6 leo bila kutumia sukari. Nafanya steps aerobics nyumbani aisee hata enzi za ujana sikuwa hivi. Sitii sukari kwenye chai, sinywi tena soda, keki wala ice cream. Wala asali. Nimepunguza ubwabwa na ugali. Nakamata mdudu na nyama choma nasindikiza na wine glass moja. Makunyanzi ya uso...
Nyuzi ya kushonewa na kuozea ndani baada ya operation hutengenezwa na misuli ya Tendons na ile ya shingoni mwa mdudu.
Huwa najiuliza which is which? Ufanyiwe operation ushonwe na nyuzi za mnyama au ufe
Uvivu na umwinyi ndio umezalisha huu ujinga tunaouona wa watoto. Enzi zetu za viboko, kutembea kilometa 10 hadi 20 kwenda shule huku unakanyaga umande, unapishana na fisi na hakuna cha breakfast tulikuwa tunafaulu vizuri ila nafasi zilikuwa chache za kuendelea na masomo. Sasa unataka kuleta...
Fake nyuuz kaka. Nyumbu wa kukurupushwa hawa. Hawawezi hata kuuliza watu wengine. Wachimbaji huwa wana kasumba mbaya wakati mwingine ya kuanzisha uongo kutumia watu kama mleta mada kisa na mkasa wamedhulumiana laki tano.
Haiwezekani nchi hii uanzishe mgodi tena magari yapite kila siku bila...
Watakuchosha nyumbu hawa wakikaririshwa na TL huwavandui. Waambie wazurure vijijini na kwenye "senta" za vijijini wataona mabadiliko makubwa sana. Ugumu wa maisha ni wewe mwenyewe. Umeshindwa kuendesha Boda, Guta, kufuga kuku, kulima bustani, kuwa machinga, huwezi hata kufanya udalali wa...
Mleta hoja unaonekana uliandika ukiwa umesimikiwa kitu background. Ghubu na roho mbaya zimekukaba kama dumuzi wa kitambaa cheupe.
Aliyemteua aliona tija ndani ya kiongozi huyu. Na ameweza kufanya mambo makubwa kutoka wizara aliyofanyia kabla ya uteuzi wake wa naibu waziri mkuu.
Kwa jinsi ulivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.