Kaeni kikao cha ukoo wa familia na mteue msimamizi wa Marathi, mkisha mteua anapashwa kwenda mahakamani kufungua shauri la mirathi kuthibitishwa na nyaraka anazopaswa kwenda nazo mahakamani ni Muhtasari wa kikao na cheti cha kifo cha marehemu. Baada ya Mahakama kumthibitisha msimamizi wa mirathi...
Pole mkuu. Mahakama hiyo sio ya mwisho kimaamuzi, bado unayo nafasi ya kupigania haki yako kwa kukata rufaa mahakama ya wilaya ambapo watachambua ushahidi wa pande zote mbili na kutoa haki kwa mwenye haki. Pia kama hautaridhika unweza kukata rufaa mahakama kuu na baadae mahakama ya rufaa.
Asante wakuu kwa kutupatia msaada wa kiteknolojia. Pia mimi naomba, msaada nammna ya ku instal whatsapp ktk simu yangu. Natumia NOKIA E 63, nime Install Whatsapp tayari ila inapofika ku agree terms & condition haikubali inaniandikia Initiolizing. Msaada please.
Miezi mitano bila mshahara!!!? Huu utakuwa ni ukatili wa hali ya juu, wanaishi vipi hao wafanyakazi, ili hali wana watoto wanahitaji ada, kodi ya nyumba na mahitaji mengine ya msingi. Ni wazi kwa kitendo hicho cha kutolipwa mshahara kwa miezi mitano ni ukatili na unyanyasaji wa hali ya juu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.