...tunafurahia kuitwa GENEVA OF AFRICA... swa safoi sanaa tena san tu...! Ila kuanze kuboreshwa kwenye mazingira yazungukao mjoi mzima kwan.. Kila kitu kibovo yuani hovyo hovyo....! Miundo mbinu kwanza..
...kusema vya ukweli hilo zungu dizaini linafkiria kwa MASABURI kiukweli, beu jaman tufkirie pale panahitaji marekebisho kwn wkt wa mvua kali pale jiji zima linakua mzozo ful ,majanga ya wanchi kuzolewa na mafuriko...
Yn dah.! Inatia huruma kweli, tukio kama hilo limetokea jana ucku palle mbezi tangi bovu.. Dereva wa TOYO, kagongwa kafa hapo hapo.. Cha mcngi ni kua makini tuwapo barabarani nduguzanguni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.