kwani kinachokulisha wewe ni nini?huna maana kabisa wewe.you look like a woman asiye na msimamo.nape is a strong man!he always faces th challenges and nt run after them like u did.na huko nadhani utakimbia tu.f.a.l.a
Hii chadema naifananisha sana na kipindi kikwete anaingia madarakani.wengi tulikuwa na hope naye sana but just observe ths current situation facing th country.i gues cdm gona be like this!
Kesi ya igunga ambayo inafanyika hapa igunga imefikia patamu jana pale waziri sophia simba na aden rage walipotoa ushaidi wao jana.hivi leo asubuhi ccm wamekataa kuendelea na kesi kwa kile kinachoonekana hawana imana na jaji anayeendesha kesi hiyo.baada kwenda kujadiliana kidogo kati ya jaji na...
Kesi hii bado inaendelea.leo asubuhi nimemwona huyo mgombea wa chadema,prof safari na mahakimu wengi tu pamoja na wasindikizaji wengine hapa mahakama ya nzega ambapo ndio kesi inasikilizwa.nimejaribu kwenda kusikiliza bahati mbaya nikatingwa na shughuli lakini kwa mbali hapa naona kesi bado...
It was a gud school.idnt know right now.but i hope it is still a good school. Pangani was my dormitory while am in a-level.neverthless i encourage you to be serious in your studies and avoid being proud.deliberetly speaking,it is a comforting place for study.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.