Mkuu tiririka na wewe. Zungumza kwa hoja, weka tofauti zako za kimtazamo ili tujenge.
Nasubiri hoja zako. Mimi ni msomaji tu bado nachakata nikipata hoja au wazo tofauti nitashirikisha hapa.
Hoja yako bado haina mashiko mkuu, maana mleta uzi amejaribu kuchambua tena kwa kina na hajatoa mapendekezo watu wale nini ila alichosema kuwa ni vema kula dona ya mahindi yaliyotoka moja kwa moja kutoka shambani ambayo hayajahifadhiwa kwa muda mrefu na kupuliziwa madawa.
Sasa hapo uongo wake...
Kwanza tuanze na tafsiri yenyewe ya kifo. Kifo hutokea pale uhai unapotoweka, uhai ni nadharia ngumu kuielezea. UHAI ni nini? Formation ya UHAI ikoje? Maana mtoto anaanza kuwa hai anapoanza kujengeka tumboni. Sasa huo uhai unatoka wapi?
Na kwa kuwa binadamu tunapokosa majibu ya maswali yetu au...
Asalaam mkuu,
Mimi ni muumini mkubwa wa mafundisho yako, hasa kutokana na elimu uliyojaliwa ya kupambanua maarifa mbalimbali juu ya meditation, nyota n.k
Niende moja kwa moja kwenye swali. Mimi nna majina mawili, jina la utotoni na jina la shule. Moja linaanziwa na G na lingine linaanziwa na M...
Upo sahihi mkuu, hata ukiangalia in fact Biblia za walokole zina vitabu pungufu ya Biblia za Cathoric church, hapa utagundua kuwa hivyo vitabu ni kwa nini havijawekwa na havisomwi na mjadala wake ni mzito.
Mimi ninavyo fahamu kuna maandiko na SCROLLS nyingi tu ambazo ziliandikwa zama zile...
Upo sahihi mkuu ila nina maana ya Historical events, mimi sio mwana theolojia ila nafahamu kuwa Biblia imejigawa katika sehemu kuu kadhaa, Kuna sehemu ya HISTORIA, kuna sehemu ya UNABII huenda n.k, mimi sijikiti kwenye UNABII maana huwezi ongeza jambo lolote maana maneno ya UNABII yanaishi na...
Wengi wa hawa watu wana Antisocial Personality Disorder, kuwatambua watu hawa ni rahisi;
Kwanza hujithamini yeye tu na si binadamu mwingine, yupo tayari kuuwa na hana majuto ndani yake.
Anaweza kukuchekea kwa lengo la kukuvuta karibu, ukidhani kuwa ni mwema kwako na baadaye anakufanyia tukio...
Upo sahihi mkuu ila unaposema maandishi yanapoishia na wewe ndio unaishia, huoni kama unakuwa limited sana maana wana theolojia wanatujuza mengi zaidi ya maandiko pekee ya biblia, kuna vitabu ambavyo havipo katika biblia lakini vinaelezea matukio ya biblia katika upande na angle tofauti.
Biblia...
Uzi huu unanikumbusha mbali hasa naposikia neno Cannibalism, in fact 90% ya viumbe wa baharini na kwenye maji kiujumla ndio wana hii tabia ya Cannibalism , yaani tabia ya kuweza kula kipande cha mwili au mwili wote wa kiumbe mwenzako wa aina yako.
Kwa binadamu, inadhaniwa kuwa wachawi ndio wana...
Kila mtandao mkubwa wa biashara unatokana na mahitaji makubwa katika soko. Kwa nini uhitaji wa madawa ya kulevya katika soko ni mkubwa miaka na miaka? Liangazie hili mkuu
Ulingoni huwa anapambana na mtu mmoja tena kuna sheria za mchezo, lakini katika uvamizi wa kumdhuru mtu hakuna idadi wala sheria, hivyo ni muhimu kuwa na tahadhari kwa kutembea na mabaunsa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.