wakike ni wapole nahata umpigeje haondoki ila ukimuoa ndio ujue umeoa ukoo wote
wakiume wahuni kila anakoenda kutafuta maisha anazaa n kuacha mke
tabia ya ujumla ni wakarimu sana na wanajali utu wa mtu,wanajua kubembeleza mnoooooooo
black is beauty kwangu mm.........wakaka weusi au maji ya kunde wanavutia kuliko wale ma white bwana (kwa wadada si jui yupi anavutia black or white)........... ila asikuambie mtu kitu cha hebu jitokeze simama mbele za watuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
ivi hua na mm najiuliza mara kibao ni kwanini wakaka wengi wanapenda wadada wenye vijungu......hua vinasaidia nini jamani cha muhimu uaminifu na mapenzi ya kweli basi
duh! huyu binti nampa salute lol! mwaka mmoja anabalance equastion na hamujamshtukia na wote anawazirisha bila maugomvi dah! kwli hii ni zaidi ya sekreto damori
:focus: achana nae mana kama kaweza kuficha maovu kwa mwaka mmoja iyo ina mana hata ukimuoa ndani utamegewa wewe hata na mlinzi wa geti...
inawezekana hata mwanzoni hakua bikra mana mpaka sasa anatoa damu tuuuuuuu..
:focus: nakushauri muende nyote wawili mukamuone dokta kwa vipimo zaidi ili mujue tatizo liko wapi labda unamuumiza mtoto wawatu huko ndani je? au ana matatizo yake binafsi yote hayo mutayajulia huko medical
ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni ..........huyo mwanamke ana lana si bure si bora angetoka huko nje kuliko kutaka kummix kaka na mdogo wake.....kabila gani huyo shemeji yako khaa!
ikimbie zinaa hiyo tena zambi kubwa kufanya na mke wa kakako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.