Ningekuwa mimi ndo nafanya maamuzi ningeweka mazingira rafiki kwa wakulima na wafanyabiashara ili kusiwepo kunyonyana. Mfano kama mkulima amewekeza nguvu zake na ardhi na mfanya biashara akaleta utaalam wake na vitendea kazi kama tractors kwanini hii joint venture isiwe isikubaliwe.
Kama...
huwezi kuthibitisha kesi bila jamhuri kuwa na ushahidi wa daktari. hata kama state attorney angeona ni lazima dr. angeturn hostile kwa nature ya kesi na inavyoattract public interest lazima state attorney asingekuwa na ujanja
pengo mnafiki na mbinafsi ndio maana iliemekana kwa alizuia hata mtangulizi wake Lugambwa kuzikwa DAR. na wengine kutilia shaa namna alivyopata kardinali na namna ambavyoameendelea kuutunza.
mke asiye kwenye ndoa iwapo mwaume akifariki mke huyo anaweza kupata sehemu ya jasho lake kama atapata wakili mzuri na akatengeneza vizuri cause of action.
hivi chadema walishindwa nini kumuweka pembeni na oazi hiyo wakampa mtu ambaye wanamuamini au kumuadhibu kwa mjibu wa kamati za nidham kama ilivyokuwa kwa akina Mkumbo? Uongozi wa nchi unataka busara kuhandle mambo mazito muno. was it necessary to do all that to a single person after all...
sikukukosoa. niliongezea pale ulipoishia. kama mahali palishatajwa na source ya kwanza basi wafaidikaji wa mchango wangu ni wale ambao hawakuona hiyo source. hata hivyo ulijihisi kuwa ninakukosoa. haikuwa hivyo. na zaidi hiyo picha inayotugonganisha vichwa hapa sio sehem yake. wakati tunachangia...
wakati amesema jengo zuri hakuwa ametaja mahali lilipo nikajua anajua lilipo ilabwengine hawajui lilipo. au ilitakiwa aliyeweka picha ndio aulizwa na kujibu mwenyewe! Nini maana ya kukurupuka?right ningekuwa nimekosea lilipo ndio ningekuwa nimekurupuka.
wakati amesema jengo zuri hakuwa ametaja mahali lilipo nikajua anajua lilipo ila wengine hawajui lilipo. au ilitakiwa aliyeweka picha ndio aulizwe na kujibu mwenyewe! Nini maana ya kukurupuka?right ningekuwa nimekosea lilipo ndio ningekuwa nimekurupuka. bado nasimama kusahihishwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.