Search results

  1. Mushobozi

    Waziri Majaliwa apiga marufuku kilimo cha mkataba asema kinawanyonya wakulima

    Ningekuwa mimi ndo nafanya maamuzi ningeweka mazingira rafiki kwa wakulima na wafanyabiashara ili kusiwepo kunyonyana. Mfano kama mkulima amewekeza nguvu zake na ardhi na mfanya biashara akaleta utaalam wake na vitendea kazi kama tractors kwanini hii joint venture isiwe isikubaliwe. Kama...
  2. Mushobozi

    William Ngeleja arejesha fedha za mgao wa Escrow kiasi cha Tsh Milioni 40.4

    faida ya kutoka Toa msaada. heri uwe bairi hata ikilipuka unakuwa kivyako au unajitetea kivyako.
  3. Mushobozi

    Shule yako mna la kujivunia kutoka kwa watia nia?

    PINDA-MUSOMA HIGH SCHOOL a.k.a Musoma Tech a.k.a Musoma Alliance
  4. Mushobozi

    Kwa yanayotokea Burundi, Kuna haja ya kuwa na EAC?

    umeongea kwa hisia kali sana.
  5. Mushobozi

    Daktari: Mbasha hakubaka shemeji yake

    huwezi kuthibitisha kesi bila jamhuri kuwa na ushahidi wa daktari. hata kama state attorney angeona ni lazima dr. angeturn hostile kwa nature ya kesi na inavyoattract public interest lazima state attorney asingekuwa na ujanja
  6. Mushobozi

    TEC yamjibu Asha Rose Migiro Kuhusu Kura ya Hapana

    pengo mnafiki na mbinafsi ndio maana iliemekana kwa alizuia hata mtangulizi wake Lugambwa kuzikwa DAR. na wengine kutilia shaa namna alivyopata kardinali na namna ambavyoameendelea kuutunza.
  7. Mushobozi

    Mjadala kuhusu Mke asiye wa Ndoa na Mtoto wa nje ya Ndoa kwenye urithi

    mke asiye kwenye ndoa iwapo mwaume akifariki mke huyo anaweza kupata sehemu ya jasho lake kama atapata wakili mzuri na akatengeneza vizuri cause of action.
  8. Mushobozi

    Bodigadi wa zamani wa Dr. Slaa, Khalid Kagenzi akanusha kutaka kumuua Dr. Slaa

    hivi chadema walishindwa nini kumuweka pembeni na oazi hiyo wakampa mtu ambaye wanamuamini au kumuadhibu kwa mjibu wa kamati za nidham kama ilivyokuwa kwa akina Mkumbo? Uongozi wa nchi unataka busara kuhandle mambo mazito muno. was it necessary to do all that to a single person after all...
  9. Mushobozi

    Tumalize Ubishi: Kati ya Mwanza na Arusha ni Jiji gani zuri, uchumi na mambo mengine

    sikukukosoa. niliongezea pale ulipoishia. kama mahali palishatajwa na source ya kwanza basi wafaidikaji wa mchango wangu ni wale ambao hawakuona hiyo source. hata hivyo ulijihisi kuwa ninakukosoa. haikuwa hivyo. na zaidi hiyo picha inayotugonganisha vichwa hapa sio sehem yake. wakati tunachangia...
  10. Mushobozi

    Tumalize Ubishi: Kati ya Mwanza na Arusha ni Jiji gani zuri, uchumi na mambo mengine

    wakati amesema jengo zuri hakuwa ametaja mahali lilipo nikajua anajua lilipo ilabwengine hawajui lilipo. au ilitakiwa aliyeweka picha ndio aulizwa na kujibu mwenyewe! Nini maana ya kukurupuka?right ningekuwa nimekosea lilipo ndio ningekuwa nimekurupuka.
  11. Mushobozi

    Tumalize Ubishi: Kati ya Mwanza na Arusha ni Jiji gani zuri, uchumi na mambo mengine

    wakati amesema jengo zuri hakuwa ametaja mahali lilipo nikajua anajua lilipo ila wengine hawajui lilipo. au ilitakiwa aliyeweka picha ndio aulizwe na kujibu mwenyewe! Nini maana ya kukurupuka?right ningekuwa nimekosea lilipo ndio ningekuwa nimekurupuka. bado nasimama kusahihishwa
Back
Top Bottom