Binafsi nimeiona hotuba kuwa ya kawaida sana, labda inatokana na hotuba hiyo kutokidhi matarajio yangu kwani pamoja na kwamba jukwaa lilikuwa ni la kidini zaidi lakini mimi nili husisha na ule utaratibu wa rais kuhutubia taifa mwisho wa mwezi japo hatujamskia kwa miezi kadhaa. Despite of mambo...
Ninakupongeza Mh. Zitto, na wengine wanaweza kuonyesha mfano kwa vitendo na sio lazima ikiwa hawajajiridhisha kuwa pesa inayookolewa inaingia katika mfuko sahihi, Cha msingi zaidi ni SERA inayohubiriwa na pongezi zinaenda kwa wote pia wanaoiunga mkono japo kwa maneno. Tatizo ni wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.